Hatimae Tumehitimisha Uchaguzi Wa 2015

Mwanzi1

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
6,000
4,586
Kwa imani kubwa nilio nayo, kuna watu ambao walikuwa bado na dukuduku la kuendeleza vuguvugu la uchaguzi mkuu 2015. Maandamano yaliyoshindikana yameweza kuhitimisha siasa za "kiuchaguzi" ili kutoa fusra kwa siasa za "kuendesha". Japo tumechelewa kwa sababu kadhaa ikiwemo baadhi yetu walikataa kuachana mihemko ya kiuchaguzi, lakini watanzania walio wengi kutumia werevu wao, wameonyesha ishara kwamba ni wakati wa kufanya kazi. Siasa hazitaisha ila zina wakati wake, tujaribu kutambuwa nyakati muafaka wa siasa za kiuchaguzi na siasa za kimaendeleo.
 
Wewe sio mtanzania pekee mwenye upofu wa kuona choo kama dinning ,mpo wengi. Jitu linajua kabisa vitisho vya hali ya juu vilivyofanyika halafu analeta uharo hapa kwamba watu hawajaandamana kwa hiari yao
 
Wewe sio mtanzania pekee mwenye upofu wa kuona choo kama dinning ,mpo wengi. Jitu linajua kabisa vitisho vya hali ya juu vilivyofanyika halafu analeta uharo hapa kwamba watu hawajaandamana kwa hiari yao
Hoja zilizo beba dhana ya maandamono zilikuwa nyepesi mno. 1.5 trn hili swala ni la bungeni sio mitaani. Udikteta hakuna aliyethibitisha udikteta upo Tanzania na ni rais Magufuli ndio anatoa amri hizo. Hoja ya vyama vya siasa kutofanya mikutano, hakuna nchi yoyote ya kidemokrasia inaonya mikutano kama wakati wa kampeni wakatii sio wa kiuchaguzi hata huko Marekani hawafanyi hivyo.
 
September 2020 sio mbali, wangetumia muda huu kujipanga upya.
Sanduku la kura haliwezi kumuondoa jiwe madarakani, tumeona 2015 kilichofanyika, uchaguzi mdogo wa kinondoni. Hivyo 2020 ni impossible
 
Hoja zilizo beba dhana ya maandamono zilikuwa nyepesi mno. 1.5 trn hili swala ni la bungeni sio mitaani. Udikteta hakuna aliyethibitisha udikteta upo Tanzania na ni rais Magufuli ndio anatoa amri hizo. Hoja ya vyama vya siasa kutofanya mikutano, hakuna nchi yoyote ya kidemokrasia inaonya mikutano kama wakati wa kampeni wakatii sio wa kiuchaguzi hata huko Marekani hawafanyi hivyo.
Hivi ukiulizwa aliyekuwa amesema kuna maandamano hapa nchini utamtaja? Hauoni umekuwa ni uzuzu kwa serikali kupoteza rasilimali kwa kitu ambacho hakipo! Aibu yako!!!
 
Sanduku la kura haliwezi kumuondoa jiwe madarakani, tumeona 2015 kilichofanyika, uchaguzi mdogo wa kinondoni. Hivyo 2020 ni impossible
Wiki moja kwenye siasa ni muda mrefu sana, huwezi juwa labda na yeye itafika 2020 akasema imetosha narudi Chato. Ni binadamu na yeye.
 
Wewe sio mtanzania pekee mwenye upofu wa kuona choo kama dinning ,mpo wengi. Jitu linajua kabisa vitisho vya hali ya juu vilivyofanyika halafu analeta uharo hapa kwamba watu hawajaandamana kwa hiari yao


kwani wakati Maandamano mnatangaza na zile mbwembwe zenu hamkutegemea Vitisho?

Rejea comments zenu kabla ya leo muone mlivyokuwa mnajifariji kuwa Dola haiwezi kushindana na Ria wakiamua.

leo Jifunze moja kati ya Mawili

1) Dola ina nguvu kuliko Raia ndio sababu leo hawakuandamana Wananchi

2) Wananchi hawajaamua kuandamana na kilichokuwa kinatokea kwenye Mitandao ni 'changamsha baraza na utani wa Kitanzania' vilaza mkachukulia Serious
 
Hoja zilizo beba dhana ya maandamono zilikuwa nyepesi mno. 1.5 trn hili swala ni la bungeni sio mitaani. Udikteta hakuna aliyethibitisha udikteta upo Tanzania na ni rais Magufuli ndio anatoa amri hizo. Hoja ya vyama vya siasa kutofanya mikutano, hakuna nchi yoyote ya kidemokrasia inaonya mikutano kama wakati wa kampeni wakatii sio wa kiuchaguzi hata huko Marekani hawafanyi hivyo.
Wenye akili kukuzidi walijua maandamano hayatakuwepo lakini wameweza kuona jinsi serikali kwa kutambua kuwa inatendea mabaya wananchi inavyowaogopa wananchi hao inaowanyanyasa. Umeona ulinzi ulivyokuwa leo?
 
Hivi ukiulizwa aliyekuwa amesema kuna maandamano hapa nchini utamtaja? Hauoni umekuwa ni uzuzu kwa serikali kupoteza rasilimali kwa kitu ambacho hakipo! Aibu yako!!!

Serikali haiwezi kupuuzia chochote kile hata mbung'o mmoja maana ukipuzia kesho watazaana na kuuwa mifugo yote
 
Wenye akili kukuzidi walijua maandamano hayatakuwepo lakini wameweza kuona jinsi serikali kwa kutambua kuwa inatendea mabaya wananchi inavyowaogopa wananchi hao inaowanyanyasa. Umeona ulinzi ulivyokuwa leo?
Nakuhakikishia watanzania sio waoga kama vile watu wanavyofikiri, watanzana wamesha pigana vita vingi sana tena vya misituni na ni wananchi wa kawaida wameshirikishwa kwenye vita hivyo. Kama ni waoga wasinge enda vitani. Kungekuwa na hoja ya maana mimi naamini kabisa watanzania wangejitokeza kutetea hoja zao.
 
Wewe sio mtanzania pekee mwenye upofu wa kuona choo kama dinning ,mpo wengi. Jitu linajua kabisa vitisho vya hali ya juu vilivyofanyika halafu analeta uharo hapa kwamba watu hawajaandamana kwa hiari yao
Unadai haki halafu unaogopa vitisho?,
 
Back
Top Bottom