Hatimae rufaa kesi ya zombe imesomwa leo

Hatimae rufaa kesi ya zombe imesomwa leo

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
Mshirika wa kesi ya Zombe amehukumiwa kunyongwa hadi kufa kufatia mauaji ya wafanya biashara wa madini kinondoni
 
Bageni Christopher alikua ofisa wa upelelezi kanda ya Kinondoni
 
Zombe akazane ...maana wakiifufua awamu hii ......naona ...hakuna uchawi wowote utakao mfanya asalimike ....si uchawi wa pesa ....si .uganga ....wala hesabu itakayo fanya mazigazi ....
 
Mahakama inamuachaje Zombe wkt ushahidi ubaonyesha alishiriki hatua mbalimbali mpk kuandaa ushahidi wa uongo kwa tume iliyoundwa kufuatilia suala hilo
 
Mahakama inamuachaje Zombe wkt ushahidi ubaonyesha alishiriki hatua mbalimbali mpk kuandaa ushahidi wa uongo kwa tume iliyoundwa kufuatilia suala hilo



Pesa ...pesa.....!
Huyu ana kesi nyingi sn za ajabu ajabu lkn ndo vile kashika mpini ...
 
Mleta taarifa hukuwa makini.
Sio zombe ndio aliyehukumiwa ila mwingine
Ww ndio hauko makini amesema mshirika Wa zombe ambaye ni bageni sasa sijui ww unaelewa usku au mchana
 
Maskini Bageni Christopher unanyongwa kwa makosa ya wengne
 
Back
Top Bottom