Kitu kikipigwa stop, wakati mwingine kinaashiria kwamba kilikwishaanza kuwepo. Hizi posho naona tayari watu wengine walikwisha kula. Nani anakagua matumizi ya fedha za Bunge?? Tuelezwe nani alikwisha kula, kwa idhini ya nani, na adhabu yake ni ipi????