Yaani tunaona kila aina ya upigaji Halafu wanaweka wazi kama sifa vile
Kuna bwawa lilitengewa 600m jamaa anakabidhi kidimbwi cha maji tena kachimbua kwa mkono
Waziri nae eti Takukuru mchukueni huyu hajui huko anaenda kuwapa chao pia
Yaani tunapigwa kifala kweli