Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,379
- 8,850
heheheheee umenyooka.Sina mpango wa gari sasa.
heheheheee umenyooka.Sina mpango wa gari sasa.
Sijui lakini ukishanunua ndio uzoefu unaupata inapoanza kuwa chombo ya fundi.Phonebook imejaa mafundi tu.
Kuna mama mmoja analo jeusi anafanya catering service alikuwa anapeleka msosi kwenye sherehe ya send off.Lilimzimikia ghafla mataa ya magomeni alipatwa na pressure akalazwa.wakati mwingine kumiliki gari ni sawa ni kujibebesha gunia la misumari
Umelaumu sifa za Brevis,lakini Voxy tatizo lake ni ulaji mkubwa wa mafuta na body laini sana,shuda ulizozisema ni ulikua hutengenezi gari ikazaa matatizo mengi kupita kiasiBaada ya kuhangaika na Noah voxy ambalo kwa muonekano wa nje linaonekana jipya(pamba) au wanasemaga in mint condition ila ilitaka kunifirisi...
au Clavia....Karibu Toyota Passo arena 🤣🤣🤣ujione huna bahati na magari .
Kuna siku tulikuwa na safari alfajiriKuna mama mmoja analo jeusi anafanya catering service alikuwa anapeleka msosi kwenye sherehe ya send off.Lilimzimikia ghafla mataa ya magomeni alipatwa na pressure akalazwa.
Kilikuu yake nayo spana mkononi.Anasema hataki kuyasikia tena.Hana hamu na Noah voxy.
Shubamitii.....Baada ya kuhangaika na Noah voxy ambalo kwa muonekano wa nje linaonekana jipya(pamba) au wanasemaga in mint condition ila ilitaka kunifirisi...
Itakuwa Katavi..Mnunuaji ametokea wapi huyo?
Vipi Alphard wakuu?
Bandarini miezi mitano? kwa charge ya bandari hii yetu, au ulihamishia bond warehouse?Niliwahi kununua Noah new model kutoka Japan, injin ilikuja vipande vipande... Clearing agent naye akapoteza document.. Gari ilikaa bandarini miezi mitano.. Nilipofanikiwa kulitoa, nikaliuza faster!