MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,131
- 3,912
Baada ya kuhangaika na Noah voxy ambalo kwa muonekano wa nje linaonekana jipya (pamba) au wanasemaga in mint condition ila ilitaka kunifirisi.
Jamaa wamenipatia mil 6.5 inanitosha kabisa maana leo imehiti kesho gear box mara izime ghafla mara nozzle kesho throttle.
Ilishawahi nitia Aibu niko na wakwe vioo havipandi wala kushuka huku mvua inanyesha.Walinuna wakawa wananiteta kilugha.
Kuna siku ilinuka petrol ndani gari mzee akaniambia unataka kunifanya ya kibwetele mwanangu. Baadae ndio nikaelewa.
Aisee Noah!!!
Jamaa wamenipatia mil 6.5 inanitosha kabisa maana leo imehiti kesho gear box mara izime ghafla mara nozzle kesho throttle.
Ilishawahi nitia Aibu niko na wakwe vioo havipandi wala kushuka huku mvua inanyesha.Walinuna wakawa wananiteta kilugha.
Kuna siku ilinuka petrol ndani gari mzee akaniambia unataka kunifanya ya kibwetele mwanangu. Baadae ndio nikaelewa.
Aisee Noah!!!