Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
chige bhana yaani sijui umepata wapi mda wa kuandika makala yote hiyo yaani nimesoma kichwa cha habari tu pale juu mwanzo!
Nimegundua unalazimisha kuwa kichaa! Yaani umeandika pumba yenye viwango vya RSG [Reli Standard Geuge]!!
Diamond ana roho ya mbaya kama ya Benjamin Netanyahu!
Chige,wewe ni mtu makini lakini katika hili umekurupuka.
Umeshindwa kuzidhibiti hasira zako juu ya hili saga badala yake umemshambulia Ommy katika skendo inayomtafuna.
Mada yako 50% imelenga kumchafua Ommy na sio kuzungumzia masuala ya kikazi ambayo ndizo lawama alizozitoa Ommy.
Kama mtu makini sikutegemea kabisa uingie katika huo mkumbo.
Turudi katika hoja zako za connection na collabo.
Hivi unawezaje kusema kwamba Diamond asingeweza kumfanyia connection Ommy?
Diamond alikuwa anaenda katika tuzo za BET (kama sikosei)
Hivyo jina lake lilikuwa ktk vichwa/vinywa vya waliokuwa wengi...ile si connection kubwa tayari?
Diamond hakwenda kama ambavyo angeenda Ommy...yeye alienda kama star.
Hivyo endapo angeenda na Ommy hata ile kushake hands na akina Kanye West ingekuwa connection tayari.
Pia kuhojiwa kule na Karueche kungekuwa connection na hizo ndizo fursa zenyewe.
Katika hili Diamond anabeba lawama ya roho mbaya na wivu.
Hapendi wengine wapate japo kiduchu ya kile apatacho.
Hukuona Ali Kiba akienda na Baraka South Afrika?
Unadhani alienda nae kuuza sura?
Ile ni connection, hata kukutanishwa na Sauti Sol ni connection tayari.
Collabo hapa namuelewa Ommy,hata kama ningekuwa mimi nimemueleza rafiki mpango wangu kesho nikakuta keshaupandia dau ule mpango ingeniumiza na kunivunja moyo wa kuendelea na ule mpango.
Ni Ommy anayejua aliumia kiasi gani,hivyo kuipotezea kwake collabo na Davido huenda ana sababu zake nyingi na kulalamika huko ni sahihi.
Ni vyema tutaweka mihemuko na mahaba yetu juu ya tunaowashabikia wanapoteleza na kusema ukweli.
Kama ukweli ni vigumu kuusema basi ni busara zaidi kukaa kimya.
Period
Hoja ya kumtafutia collabo Marekani huitaki tena manake hujagusia kabisa!!!!Hapa naona unataka kurudi ktk mstari.
Japo...
Tunatofautiana katika namna ya kuziona na kuzitumia fursa kupata mafanikio tunayoyataka.
Kwahiyo kushindwa kwa Diamond kutumia fursa sio tiketi ya kusema Ommy nae angeshindwa kutumia fursa ya connection kupata collabo.
Na kwa jinsi Ommy alivyoelezea hili sakata jamaa ana jicho la fursa ndio maana aliziona fursa za collabo kati yake na Davido& Iyanya.
Hapo kabla alishafanya na J Martins....
Hivyo kwa kuliona hili Chibu alijua kabisa huyu mtu nikimpa tu nafasi kanipita,ndio maana akamfanyia roho mbaya mwenzie.
C'mon Chige... Kwani zile tuzo ziliandaliwa na label inayowasimamia Kiba na Baraka?
Ili useme ilikuwa lazima aende?
Kiba angeweza kumpotezea Baraka vilevile kama angekuwa na roho mbaya pia.
Silazimishi my dear,mimi ni mkweli na daima husema ukweli na sio kuendekeza mahaba.
Mbona nilikiri kuwa collabo kati ya Kiba na Ommy sijaikubali kivile?
Hivi ningekuwa naongozwa na mahaba ningetubutu kuiponda kazi ambayo Kiba wangu kashiriki?
Ukweli tuuseme,kwahili Chibu ana makosa.
Na kwa jinsi Ommy alivyoelezea hili sakata jamaa ana jicho la fursa ndio maana aliziona fursa za collabo kati yake na Davido& Iyanya.
Hapo kabla alishafanya na J Martins....
Hivyo kwa kuliona hili Chibu alijua kabisa huyu mtu nikimpa tu nafasi kanipita,ndio maana akamfanyia roho mbaya
Sasa kati ya mimi na wewe kichaa nani? Umefahamu vipi kwamba ni pumba wakati umeishia kusoma kichwa cha habari tu? Inawezekana walikuachai kimakosa Milembe; bado una matatizo ya akili... kwaheri!!chige bhana yaani sijui umepata wapi mda wa kuandika makala yote hiyo yaani nimesoma kichwa cha habari tu pale juu mwanzo!
Nimegundua unalazimisha kuwa kichaa! Yaani umeandika pumba yenye viwango vya RSG [Reli Standard Geuge]!!
Diamond ana roho ya mbaya kama ya Benjamin Netanyahu!
Tutumie lugha za staha wakuu! Tusiharibu uzi mzuri kama huu kwa lugha za kuudhi..Hivi Diamond ana kolabo ngapi na wasanii wa marekani? Saa nyingine ni bora ukakaa kimya kuliko kuonyesha ujinga wako mbele za watu.
Samahani zangu zikufikie hapo ulipo basi... ndo hivyo tena jukwaa likichemka; mambo ya kutoelewana lazima yatoke! I hope you don't mind...Kaka nilikuwa namuongelea uyo jamaa anajiita mchambuzi lbd hukunielewa
Tutumie lugha za staha wakuu! Tusiharibu uzi mzuri kama huu kwa lugha za kuudhi..
Kama hujui kitu ebu uliza kwanza acha kupotoshaAcha ushamba wewe.
Inategemea na makubaliano ya mtu.
Johmakini feat. Chidnma ni bure, Johmakini feat. AKA ni bure.
AY na Romeo ni bure, Yemi Alade na saut Sol bure.
Usikariri.
Wasanii wanatumia hii nafasi kutafuta fun base kwenye nchi zingine.
Naomba tu nikupe pole jana Ommy amewa-outsmart mmeonekana vituko mbele ya jamii.
POINT YAKO NINI HASWA?Kama hujui kitu ebu uliza kwanza acha kupotosha
Collabo ya joh makini ft chidima
Joh makini alimlipa chidima tena joh makini mwenyewe alisema ilibidi amlipie chidima na timu yake hadi gharama za usafiri business class kutoka nigeria hadi south africa kushoot video.
Joh makini ft AkA
Hii collabo hadi kesho anamshukuru diamond kwa kumfanyia wepesi na kuruhusu kufanyika kwa collabo ukumbuke AKA alikuja bongo aliletwa na diamond kwenye zari white party diamond alimgharamia AKA kila kitu, AKA baada ya kisikia nyimbo za joh makini kwenye xxl ndipo adam mchomvu akamuomba AKA,
Diamond akasema haina tatizo yeye atafanya nae baada ya party kuisha
Nonsense! Eti kijisehemu cha dakika moja....! Yaani mtu akikuwekea time range ya sekunde 10 ndo unadhani habari husika ipo within 10 seconds pekee?! By the way, kama shida yako ni kuandikwa sekunde kwa sekunde; umekatazwa kuandika?!stupid allegation unatumia nguvu nyingi na maneno mengi kudiscuss kijisehemu cha dakika moja kwenye interview crazy bald head kabisa,ndio tatizo watu wa d hamshauri vizuri mnamtumia kwamanufaa yenu wenyewe sio kwafaida yake
IQ yako ndogo ndo maana huoni point na class wanafunz hawaelewag kwa wakati mmoja......no free kwa ulimweng huu wa kidijitalPOINT YAKO NINI HASWA?
NIMEFAULU VIPI MITIHANI ALIYOTUNGA PROFESSAIQ yako ndogo ndo maana huoni point na class wanafunz hawaelewag kwa wakati mmoja......no free kwa ulimweng huu wa kidijital
Tuliza akili umedandia treni kwa mbele acha ubongo ufanye kazi yakePOINT YAKO NINI HASWA?