Hatima ya hawa vijana na ustawi wa Taifa

kashakambajile

JF-Expert Member
Sep 18, 2020
219
214
Najaribu kuwaza ustawi wa Taifa letu huko twendako bila kupata jibu.Idadi ya vijina wanaomaliza vyuo vikuu na vya Kati inazidi kuongezeka huku ajira zikiwa hazipo.Lakini pia kunawanaomaliza shule za sekondari na shule za msingi.Hata wakijiajiri wenyewe idadi yao ni kubwa mno kupata mitaji ya kuwawezesha ajira binafsi.
Najua serkali inamipango mizuri za kutoa lakini ; hazitoshi tusipojikana nafsi wenyewe kupunguza tatizo la ajira kwa vijana hawa.Kwanza serkali ibane matumizi ikiwa pamoja kupunguza ukubwa wa serkali.Pili viwanda vilivyouzwa virejeshwe vilivyokiukaashariti na kutafuta mitaji ya kuvufufua na waajiriwa wawe vjn hawa.Intervew nafasi za kazi zifamywe na watu huru.Viongozi punguzeni safari na posho dedha zielekeWe kutafuta mitaji kwa ajili ya vijana
 
Siasa iache kupewa hadhi na kipaumbele na serikali ijikite kuwekeza kwenye ukulima na viwanda.. Kuna ajira nyingi sana huko

Pili matumizi ya kawaida ya serikali yapunguzwe kwa asilimia 50
Mishahara na marupurupu ya wabunge yapunguzwe kwa asilimia 60 na walipwe wanapokuwa bungeni tuu

Kila mkoa uwe na
Viwanda vidogo
Viwanda vya kati
Na viwanda vikubwa kulingana na malighafi inayopatikana huko

Sekta ya masoko nayo ipewe nguvu kutokana na bidhaa zinazozalishwa toka viwanda husika.. Masoko ya kikanda na nje ya nchi yajengewe uwezo nknk
 
Najaribu kuwaza ustawi wa Taifa letu huko twendako bila kupata jibu.Idadi ya vijina wanaomaliza vyuo vikuu na vya Kati inazidi kuongezeka huku ajira zikiwa hazipo.Lakini pia kunawanaomaliza shule za sekondari na shule za msingi.Hata wakijiajiri wenyewe idadi yao ni kubwa mno kupata mitaji ya kuwawezesha ajira binafsi.
Najua serkali inamipango mizuri za kutoa lakini ; hazitoshi tusipojikana nafsi wenyewe kupunguza tatizo la ajira kwa vijana hawa.Kwanza serkali ibane matumizi ikiwa pamoja kupunguza ukubwa wa serkali.Pili viwanda vilivyouzwa virejeshwe vilivyokiukaashariti na kutafuta mitaji ya kuvufufua na waajiriwa wawe vjn hawa.Intervew nafasi za kazi zifamywe na watu huru.Viongozi punguzeni safari na posho dedha zielekeWe kutafuta mitaji kwa ajili ya vijana
Ushauri mzuri kwa watu wenye kujali na wenye kujitambua !! Nakumbuka Lowassa aliwahi kuonya kuhusu hili suala !!
 
Tatizo vijana wenyewe tunawaza ngono na pombe 24/7 Serikali hapo inatumia fursa hiyo kutupiga na vitu vizito.kichwani.
 
Siasa ushwara na Uchawa vikipunguziwa hadhi, na ujasiriamali ukapewa namba 1 tutavuka
 
FB_IMG_1659891291805.jpg
 
Najaribu kuwaza ustawi wa Taifa letu huko twendako bila kupata jibu.Idadi ya vijina wanaomaliza vyuo vikuu na vya Kati inazidi kuongezeka huku ajira zikiwa hazipo.Lakini pia kunawanaomaliza shule za sekondari na shule za msingi.Hata wakijiajiri wenyewe idadi yao ni kubwa mno kupata mitaji ya kuwawezesha ajira binafsi.
Najua serkali inamipango mizuri za kutoa lakini ; hazitoshi tusipojikana nafsi wenyewe kupunguza tatizo la ajira kwa vijana hawa.Kwanza serkali ibane matumizi ikiwa pamoja kupunguza ukubwa wa serkali.Pili viwanda vilivyouzwa virejeshwe vilivyokiukaashariti na kutafuta mitaji ya kuvufufua na waajiriwa wawe vjn hawa.Intervew nafasi za kazi zifamywe na watu huru.Viongozi punguzeni safari na posho dedha zielekeWe kutafuta mitaji kwa ajili ya vijana

Bado kidogo tutaifikia nigeria !!!
Omba omba mpiga debe na muikota makopo ana elimu ya degree
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom