SASA PANGABOI TANGU LINI IKASHINDANA NA BOEING AU AIRBUS ZA KISASA ZENYE HADHI YA DUNIA??
Ndiyo haziwezi lakini kwa kuwa tumeamua kuimarisha shirika letu la ndege ambalo bado linatambaa halijaweza kusimama lenyewe na kuhimili ushindani wa mashirika makubwa, nilidhani si sawa kumruhusu Ethiopian air kuleta huo ushindani.