Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Wapendwa wanaJF,
Nimeona ni vema nikaweka hii hati ya kumkamata Rais wa Sudan, Omar Al Bashir kujua ni mashtaka gani anayotuhumiwa nayo na Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (The International Criminal Court) iliyoko The Hague kwa mujibu wa Sheria za Kimataifa na kama kuna justification yoyote yenye ushawishi ya kutolewa kwa hati hiyo. Fungua attachment hiyo hapo chini. Then tujadili.
Nimeona ni vema nikaweka hii hati ya kumkamata Rais wa Sudan, Omar Al Bashir kujua ni mashtaka gani anayotuhumiwa nayo na Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (The International Criminal Court) iliyoko The Hague kwa mujibu wa Sheria za Kimataifa na kama kuna justification yoyote yenye ushawishi ya kutolewa kwa hati hiyo. Fungua attachment hiyo hapo chini. Then tujadili.