englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
Ahhaha huyu kiboko
mashaalah!!!
Huyu sio Alshabab ni Albanat, labda nikufahamishe kidogo kijana nini Alshabab na nini Albanat maana mimi niliwahi kuishi UAE, maana ya Alshabab ni kijana wa kiume na maana ya Albanat ni binti wa kike, usije ukakutana na jamaa akakuambia wewe ni Alshabab ukarusha masumbwi maana wewe ni kijana ila akikuambia wewe ni Albanat basi mtwishe makofihuyu nafikiria atakua ni alshabab
hilo teke inabidi uwe umevaapo skintaiti...
Duh halafu naskia eti huyu dada bado ni bikra
Tena isiwe imetoboka!
hahaaa maana kuna nyingine lo..ngoja nikae kimya
Huyu sio Alshabab ni Albanat, labda nikufahamishe kidogo kijana nini Alshabab na nini Albanat maana mimi niliwahi kuishi UAE, maana ya Alshabab ni kijana wa kiume na maana ya Albanat ni binti wa kike, usije ukakutana na jamaa akakuambia wewe ni Alshabab ukarusha masumbwi maana wewe ni kijana ila akikuambia wewe ni Albanat basi mtwishe makofi