hatasisi tunaweza

hatasisi tunaweza

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
5903_342702789192210_1894229517_n.jpg
 
huyu nafikiria atakua ni alshabab
Huyu sio Alshabab ni Albanat, labda nikufahamishe kidogo kijana nini Alshabab na nini Albanat maana mimi niliwahi kuishi UAE, maana ya Alshabab ni kijana wa kiume na maana ya Albanat ni binti wa kike, usije ukakutana na jamaa akakuambia wewe ni Alshabab ukarusha masumbwi maana wewe ni kijana ila akikuambia wewe ni Albanat basi mtwishe makofi
 
Huyu sio Alshabab ni Albanat, labda nikufahamishe kidogo kijana nini Alshabab na nini Albanat maana mimi niliwahi kuishi UAE, maana ya Alshabab ni kijana wa kiume na maana ya Albanat ni binti wa kike, usije ukakutana na jamaa akakuambia wewe ni Alshabab ukarusha masumbwi maana wewe ni kijana ila akikuambia wewe ni Albanat basi mtwishe makofi

asante kwa kunielewesha mkuu .........mi ni katika wale wanaokukubali
 
Back
Top Bottom