eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,660
- 13,804
Kwanza kabisa sijabagua, nimesema kuna watu humu hujiita Watz ilihali ni Wakongo, kwa mfano huyu mulisaaa aliwahi kudai kwamba yeye ni Mkongo nusu na Mtanzania nusu, nijuavyo sheria zenu haziruhusu uraia pacha, na kwa jinsi Kiswahili chake huwa majanga, hivyo atakua Mkongo.
Pili, nyie ndio wabaguzi mliojawa chuki mlizorithi kutoka kwenye mfumo wa ujamaa, muna hulka za kuwafukuza watu ambao mababu zao walizaliwa kwenu huko, kisa wana asili ya nchi zingine. Kuna yule jamaa mjaluo niliwahi kuleta habari zake humu, mumemtesa sana ilhali wazazi wake ni wazawa wa nchi yenu.
Anyways sijajua SANA suala la huyu jamaa.
Lkn mbona na NYIE mnamkana miguna miguna kisa eti anapingana na uhuru Kenyatta.