hataki mpangaji mwenye gari

Wenye nyumba wenye nyumba, kweli wana mauzi hivi wote tungejenga ni nani angepanga
 
Nivea, hesabu zako ni za wapi .....mmmhhh... sijazielewa. bei za viwanja sasa hivi ni sawa na magari mawili. msingi wa nyumba makari mawili pia. ukitoka kwenye msingi, kupandisha raha, japo sawa na kagari kamoja tena kadogo. njoo kwenye kuezeka, another 2 cars, bado finishing... usione nyumba zimesimama, labda kama unataka kujenga kibanda kwanza halafu nyumba ujenge baadae kama wengine wafanyavyo.
ndio maana wenye nyumba wanakua wanyanyasaji sababu ya gharama kubwa. kununua gari kila mmoja akijipiga ananunua. lakini si kujenga jamani.

Preta ukizungumzia gari usichukulie tu buying cost also runing cost zinaweza zikazidi buying cost ,kwa hiyo gharama yake inazidi hata kiwanja nashauri vijana wajipange sana na maisha mikopo ya magari wajenge nyumba jamani kulilea gari ni kazi from my experience
 
Nivea, hesabu zako ni za wapi .....mmmhhh... sijazielewa. bei za viwanja sasa hivi ni sawa na magari mawili. msingi wa nyumba makari mawili pia. ukitoka kwenye msingi, kupandisha raha, japo sawa na kagari kamoja tena kadogo. njoo kwenye kuezeka, another 2 cars, bado finishing... usione nyumba zimesimama, labda kama unataka kujenga kibanda kwanza halafu nyumba ujenge baadae kama wengine wafanyavyo.
ndio maana wenye nyumba wanakua wanyanyasaji sababu ya gharama kubwa. kununua gari kila mmoja akijipiga ananunua. lakini si kujenga jamani.
sasa unawatisha wasijenge au kama wengine wanaweza kwanini yy,then IF U CANT CONVINCE CONFUSE kwa hiyo unashauri watu waendelee kupanga sio sehemu zote viwanja ni ghali tatizo,watu hupenda masaki,mbezi,osteybey unategemea nini?
 
Wengine tunapanga sio kwa vile hatuna nyumba ila sehemu tulizojenga bado hakuna watu wengine hivyo ukihamia na kagari kako ni kujihatarisha
 
weekend hii nimetembelea jamaa zangu mitaa fulani .........amepanga na ana gari.Hiyo nyumba ina wapangaji wanne na wote wana magari y akutembelea....nyumba ina uwanja mkubwa tu wa kutosha kupaki hayo magari...kwa bahati mbaya au nzuri mwenye nyumba hana gari,bado ni mtu wa makamo na anafanya kazi...siku za hivi karibuni ameanza vituko vinavyoonekana kama ni wivu...achilia mbali kwamba huwa hataki lift za hayo magari ata kama mvua zinanyesha na amewanyima hadi wanae kuyapanda.......tabia mpya nipamoja na kudai watu walipie parking 1000 kwa siku,mara mlinzi,mara anahatarishiwa usalama wa nyumba yake,mara anakosa hewa ya kutosha kil ammoja anapewa sababu..wakat mwingine anasikika akiponda utanunuaje gari nyumba y akupanga.........huyu mzee kijana wanamheshimu sana;tunajua yupo hap aJF pia..AJIREKEBISHE au aweke madai mezani.....na wenye nyumba hapa JF mshaurini mwenzenu..........

Sijui lakini naona unamlaumu bure mwenye nyumba wako! Kwanza kukataa lifti ni kuwa mtamsimanga baadae. Parking ndio haki yake kwani ukilipaki kwengine utalipaki bure? Kuhusu hewa naam, uwanja kauweka kwa parking hapo mwanzo? Na hili la kukwambia ununue nyumba kwanza kabla ya gari si anakupa changamoto?
 
Huo ni uswahili na wivu wa kijinga basi asingejenga parking hapo ya magari kaiweka ya nini?
 
utanunuaje gari nyumba ya kupanga......?
preta mrembo wangu, hapo na mimi ndo huwa nashangaa, mtu ananunua gari wakati hana hata nyumba...garama ya ku maintain gari kwa mwaka inatosha kujenga nyumba....siku hizi huko kimara kuna viwanja hadi vya milioni nne, tano etc, gari ananunua ya shilingi milioni kumi na mbili hivi, inatosha kabisa kujenga pako, ukaepuka fedhaha hizi. ukishajenga, ndo sasa nunua gari walau moja, afu hela zingine jenga nyumba na wewe upangishe, utapanga kwa wenzio hadi lini?...wabongo wanapenda starehe na matanuzi wakati mishahara yao midogo.
 
Back
Top Bottom