mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
weekend hii nimetembelea jamaa zangu mitaa fulani .........amepanga na ana gari.Hiyo nyumba ina wapangaji wanne na wote wana magari y akutembelea....nyumba ina uwanja mkubwa tu wa kutosha kupaki hayo magari...kwa bahati mbaya au nzuri mwenye nyumba hana gari,bado ni mtu wa makamo na anafanya kazi...siku za hivi karibuni ameanza vituko vinavyoonekana kama ni wivu...achilia mbali kwamba huwa hataki lift za hayo magari ata kama mvua zinanyesha na amewanyima hadi wanae kuyapanda.......tabia mpya nipamoja na kudai watu walipie parking 1000 kwa siku,mara mlinzi,mara anahatarishiwa usalama wa nyumba yake,mara anakosa hewa ya kutosha kil ammoja anapewa sababu..wakat mwingine anasikika akiponda utanunuaje gari nyumba y akupanga.........huyu mzee kijana wanamheshimu sana;tunajua yupo hap aJF pia..AJIREKEBISHE au aweke madai mezani.....na wenye nyumba hapa JF mshaurini mwenzenu..........