sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Mmmmmmh.......aiseeeLazima ameshasimuliwa habari zako, ameshaambiwa ulivyo mchafuzi wa mazingira. Na wanao kina Maureen, Travis na Sean keshaonyeshwa namna ulivyowazalisha mama zao na kuwapiga chini.
Na bado unaitwa baba kijacho kwa mdogoake mama Maureen...
Na huyo unataka kumfanya single mother
Keshakushtukia...
Umekuwa kiwanda cha kuzalisha ma single mother...
Bora tu akatae...