juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,459
Hapa mtaani kuna demu kahamia,ni mzuri,na ana shape na rangi nzuri sana.nimemtongoza na kanikubalia.sasa nashangaa naomba papuchi ananigomea na hata muda wa faragha nae sipati.ananiambia eti atatoa penzi hadi nikimuoa kwa kuwa yeye ni bikra.maswali ninayojiuliza ni je nikimua harafu nisiipate bikra itakuwaje?
NB:nimeshindwa kuwa na mpenzi hewa,ajabu nikimpotezea lazima anitafute na kulialia sana
NB:nimeshindwa kuwa na mpenzi hewa,ajabu nikimpotezea lazima anitafute na kulialia sana