Hataki kuni expose kwenye social medias and network

Hataki kuni expose kwenye social medias and network

Una Bahati Mbaya au Hauna Bahati kabisa madam. Si nimeona Thread ingine ukilia "bado hajamwacha wa zamani" na saa hii unalia hauwekwi kwa Kioo.

Achana nae pita zako hivi mama. Mbele kuna mwingine anakusubiria kwa hamu zote.
 
siku zote huwa naamini sisi wanaume ni vichwa ndo tunapaswa kuongoza,ila wanawake ni shingo.hivyo basi shingo ndo ina control kichwa japokuwa kichwa ndo kimetangulia.ukimuona mwanamke analega katika mambo madogo ya namna hii ujue hata familia kuiendesha itakuwa kazi.katika vitu ambavyo havihitaji elimu kabisa ni namna mwanamke anavyoweza kumkontrol mwanamme.it's natural!!!!!(sio ukapige limbwata manake siku likieksipaya utakiona).
miss strong tell her,to that man she is just a mere nobody,nothing#@$$%%^&*^%$#mengine nimeyasema kimoyomoyo

Hayo maneno yako ya kimoyomoyo wakyagara wakinyora ni balaa.....mi naona ajitathimini upya tu.Kutereza si kuanguka.
 
Last edited by a moderator:
Nina mwenza wangu hataki ajulikane kama tunamahusiano nae yani hataki hata kuweka picha yangu kwenye socila networks ikiwemo facebook twitter watsup bbm na kadhalika hata mi nikisema niweke ananijia juu akiziona nimemuweka na mm namuweka kwa mapenzi to be proud of him ila ye hataki anasema ntoe sio vizuri ila wanawake wengine anaweka na kuwasifia wengine wanamwita mume mpenzi mi naona na niko kimya tu mpaka sasa nimeamua na mimi nikae kimya wadau niambieni siri iliojificha hapa kama ananipenda kweli is aweke wazi kila kona kwani nini afichefiche najihisi kama sio priority kwake ni ptional

Yaani kuna cha kuuliza hapo sasa? Kila kitu kiko wazi akufukuzae hakwambii.......... !

Usipoteze muda huo ni mchosho!
 
haya mapenzi ya kisasa haya kazi kweli kweli, kwamba akiwekwa kwenye hizo social media ndio tafsiri gani? anapendwa sana ama? jamani wanaume wana kazi kweli na hawa wadada wa kisasa.

we acha tu sweetheart!
 
Huyo hakutaki!
Kama vipi nikutumie picha za kwangu uweke ktk profile zako! Na wewe unitumie za kwako niziweke ktk profile zangu! (serious)

Hahahhhhh. JF is never boring. Anyway, this is Plan B, in case Plan A has failed.
 
haya mapenzi ya kisasa haya kazi kweli kweli, kwamba akiwekwa kwenye hizo social media ndio tafsiri gani? anapendwa sana ama? jamani wanaume wana kazi kweli na hawa wadada wa kisasa.

Umeona eeh Nyamayao? yaani siye old skul wala hatuna shida lol
 
Last edited by a moderator:
mie wangu walaaaaaaaaaaaaso rafiki yangu na wala haijalishi tizama mapenzi na wala sio kuonyeshana kwenye media, Anaweza kukuonyesha kumbe sio lolote kwake so keep cool shost
 
yani habari yako mwanzo mwisho hakuna coma,fulstop...

Shidaaaa...
Na unaweza ukawa chuo!!?
 
Back
Top Bottom