Hata sijui binti huyu kakwamia wapi

Hata sijui binti huyu kakwamia wapi

mwenebhukabho

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
6
Reaction score
5
Siku za hivi karibuni nmekutana na binti mmoja niseme ukweli nilimpenda, nilijitambulisha kwake japo alinijua kama rafiki wa rafiki yake. Alikuwa kabanwa kidogo na mambo yake, nikampa kama wiki hivi kabla ya kupanga kukutana nae ili nimwambie ya moyoni.

Tumekua tukiwasiliana kawaida tu. Kuna siku alimuuliza rafiki yangu juu ya dini yangu, offcz tupo dini tofauti mie ni muislam naye ni mkristo ila kwa upendo huu nikasema na moyo kwamba Mungu ataonesha njia mbeleni.

Hakuonesha kunibadilikia ila sasa tangu ile siku yetu ya miadi ifike mpaka leo siku ya tatu hivi binti hapokei simu wala kujibu meseji.

Wanakambi naombeni ushauri nijipe majibu kuwa ishu ni dini nijiengue au nifanyeje!? Inanivuruga kwa kweli.
 
Siku za hivi karibuni nmekutana na binti mmoja niseme ukweli nilimpenda.nlijitambulisha kwake japo alinijua kama rafiki wa rafiki yake.alikuwa kabanwa kidogo na mambo yake.nikampa kama wiki hivi kabla ya kupanga kukutana nae ili nimwambie ya moyoni.Yumekua tukiwasiliana kawaida tu.kuna siku alimuuliza rafiki yangu juu ya dini yangu,offcz tupo dini tofauti mie ni muislam naye ni mkristo.ila kwa upendo huu nkasema na moyo kwamba Mungu ataonesha njia mbeleni.hakuonesha kunibadilikia ila sasa tangu ile siku yetu ya miadi ifike mpaka leo siku ya tatu hivi binti hapokei simu wala kujibu meseji.Wanakambi naombeni ushauri nijipe majibu kuwa ishu ni dini nijiengue au nifanyeje!?inanivuruga kwa kweli.
Mkuu hujuwi kusoma yaaaani hata picha huoni.........ukiona hivyo baba hutakiwi.....take your time brooo
 
Kama unampenda endelea kumsumbua tu,
Toka nifahamu kwamba mwanamke ukimsumbua kipindi kirefu mwisho wa siku lazima akupe tu. Imakuwa silaha yangu muhimu
Hii siri niliipata kwa wanawake wenyewe. (Niliamua kumpa tu sababu alinisumbua sana)
 
Dah!!kwamtoro huyu binti mwenzio nkimuwaza roho inanilipuka!!..sema ndo changamoto
 
Ebu jaribu kwanza kumtumia m-pesa ya kama elfu 50 hivi afu ulete mrejesho hapa jukwaani.
 
Jiongeze mkuu,hapo wala uhitaji kushauriwa.

Anyway muulize rafiki yake.
 
Sasa unaendelea kusubiria nini sasa?? Basi endelea kusubiri akupigie yeye...unatamani tamani hovyo tu...kajua janja zako
 
Kwa uking'ang'a kwel mie king'ang'a!!...ila ss picha linaanza tu mambo yanakua hivi pengine hata nna mkosi bandugu!!au kawaza nini loooh!!...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom