Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Kwa mujibu wa Spika Ndugai usemi huo wa Obama ni matusi kwa Africa nzima?
Na je ule wa Donald Trump kwamba nchi za Africa ni s'holes ulimaanisha nini kama sio mizengwe kama hii, isiyo ya lazima?
Na usemi " biting the hand that feeds you" una maana CAG analishwa na mkono wa aliyemteua au kodi za wananchi?
Ni ajabu kwa Bunge kufumba "jicho" lake au kuzima taa yake badala ya kupambana na jambazi aliyetinga chumbani kwao!
Mbaya zaidi inapoonekana Spika anajaribu ku-preempt kamati zake za PAC na LAAC kuhusu audit queries!
Na je ule wa Donald Trump kwamba nchi za Africa ni s'holes ulimaanisha nini kama sio mizengwe kama hii, isiyo ya lazima?
Na usemi " biting the hand that feeds you" una maana CAG analishwa na mkono wa aliyemteua au kodi za wananchi?
Ni ajabu kwa Bunge kufumba "jicho" lake au kuzima taa yake badala ya kupambana na jambazi aliyetinga chumbani kwao!
Mbaya zaidi inapoonekana Spika anajaribu ku-preempt kamati zake za PAC na LAAC kuhusu audit queries!