Hata kwa mtutu wa bunduki

Jamaa sio kicheche aisee, tunazunguka nae porini sana tu, hajawahi kulala na demu, na ndo mana kadata.....mana akifikiria wana walikua wakimtania siku utakuta mkeo analiwa utakufa wewe, na ndo yametokea kweli!
dah!pole yake basi hana budi
kumtema huyo mke coz kama hajafa
kwa magonjwa bas presure itamuondoa!
 

na picha anazo.... anasubiri na yeye aunganishwe au?...ana moyo wa chuma huyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…