Hata kujazana bungeni ni dalili ya uvivu kama tu wacheza pool table, Tume ya Warioba ililiona hili

Yohana kwa kweli kuna muda unakubali kutumia akili zako vizuri...
Hongera kwa kuleta mada nzuri sana..

Ndugai na wanasiasa wengine nao ni wavivu tu wanaotumia madaraka yao kunyanyasa vijana wengi wasio na pakusemea....
Kuna tija gani kuwa wabunge almost 400 ambao wapo kumsifu mtu mmoja na kukwapua kodi ya walalahoi....ni upuuzi kama upuuzi mwingine
Unaweza kujiuliza wabunge zaidi ya 390 wana kazi gani ya maana ukilinganisha na maslahi makubwa wanayolipwa?

Tume ya Katiba Mpya iliyoongozwa na mzee Warioba ililiona hili na kupendekeza idadi ya wabunge ipunguzwe "sana".

Kiukweli unapokuwa na kundi la wabunge zaidi ya 390 wenye elimu za kuanzia shule ya vidudu hadi UDSM ni sawa na genge tu la watu wavivu au wacheza pool table.

Tunapoangalia uvivu wa taifa tuangalie na wanasiasa wetu je wana tija yoyote?

Ni wachapa kazi au wapiga makofi yasiyoeleweka?

Maendeleo hayana vyama!
 
Yohana kwa kweli kuna muda unakubali kutumia akili zako vizuri...
Hongera kwa kuleta mada nzuri sana..

Ndugai na wanasiasa wengine nao ni wavivu tu wanaotumia madaraka yao kunyanyasa vijana wengi wasio na pakusemea....
Kuna tija gani kuwa wabunge almost 400 ambao wapo kumsifu mtu mmoja na kukwapua kodi ya walalahoi....ni upuuzi kama upuuzi mwingine
Naona wokovu umekaribia mkuu
 
Unaweza kujiuliza wabunge zaidi ya 390 wana kazi gani ya maana ukilinganisha na maslahi makubwa wanayolipwa?

Tume ya Katiba Mpya iliyoongozwa na mzee Warioba ililiona hili na kupendekeza idadi ya wabunge ipunguzwe "sana".

Kiukweli unapokuwa na kundi la wabunge zaidi ya 390 wenye elimu za kuanzia shule ya vidudu hadi UDSM ni sawa na genge tu la watu wavivu au wacheza pool table.

Tunapoangalia uvivu wa taifa tuangalie na wanasiasa wetu je wana tija yoyote?

Ni wachapa kazi au wapiga makofi yasiyoeleweka?

Maendeleo hayana vyama!
Umesema neno mazee. Sometimes it may resemble kijiwe if not well directed and organised
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom