Hata kama njaa Hii ni hatari

Hata kama njaa Hii ni hatari

Ayusema

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2011
Posts
549
Reaction score
189
Habari wana JF,

Leo katika pita pita zangu nimedondokea airport.. Parking ni shida, magari mengi sana hata sehem ya kupark ni finyu, kilichonishtua Katika ulipaji wa parking bei ni ya juu kidogo hata kama umekaa dakika tano unalipa elfu 2.

Kawaida huwa ni elfu 1 kwa nusu saa au zaidi!! Mlimani city nusu saa huwa ni bure then buku kwa lisaa. Hata kama ni mapato ya ndani hii hatari na njaa.. Dakika 21 unalipa elfu 2 je masaa matatu!?
IMG_20170725_153923.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu siku nyingine ukienda usiingie na gari
 
Acha kulalamika, hiyo bei ya tokea mwaka jana na watu washaizoea.
 
Watu wanajifanya buku 2 ya kawaiiida sana kwa kuwa airport?

Wapunguze bana irudi kuwa buku
 
nasubiri hiyo siku mabasi ya mwendokasi yakifika airport..
watashangaa wenyewe magari yatakavyoyeyuka hapo
Wanaringa sasa hivi kwa kuwa hakuna option.....

Na mfumo wetu wa mabus sio mzuri...

2,000 ni nyingi sana aisee
 
Hatutaki msongamano usio wa lazima....wengine mnakuja pale kupaki halafu mnaenda zenu kula bata. Watu wenye uhitaji wanapata shida ya parking. wako sawa.
 
Back
Top Bottom