Hata kama Fisadi, tutamchagua!!!

Hata kama Fisadi, tutamchagua!!!

DxR

Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
71
Reaction score
39
Sisi ndio wananchi na sisi ndio wapiga kura. Ubabe, Vijembe, Matusi haisaidii. Sisi tumemkubali. Alete maendeleo, hasilete, tutamchagua tu. Tumechoka!!!

Miaka miwili kafanya makubwa kuliko miaka 50. Ni dalili njema kwa wataka mabadiliko. Anaweza!!

Serikali imara kama kiongozi Fisadi inamshitaki. Miaka 8 yupo benchi hamjamshtaki halafu leo mnatuambia Fisadi! Hatuwaelewi! Imekula kwenu.

Unapomnyooshea mwenzako kidole, eti mchafu, jiangalie na wewe msafi?

Wananchi tumeamua!
 
Yani hata anapumulia mashine tutamchagua. Isingekuwa huyu ----- tunaye kutudhihirishia yeyote Tanzania anaweza urais hata binti wa chekechea joti zembwela labda tungesita nskujiuliza
 
Lowassa(2015) ni chaguo la Mengi. Kilio chetu kimefika mbinguni. Ufisadi wa ccm sasa naukemea umetosha.
 
Ndio maana mkapa kawaita malofa.

Nchi hii ina wenyewe wewe!
 
EL ndo habari ya MUJINI! Kama anaumwa tutamtibu Marekani. Tulimuweza Profesa Tezi tutashindwa huyu? Big up EL, ULIPO TUPOOOOO!!
 
Kwamiaka ishirini nimekuwa nikiimbishwa sera za ccm maji maji, barabara, afya, vinafanyika ila nikipiga speed ya utekelezaji na mda, haitaji rocket science.... Lowasa baba kura hii ni yako napia naahidi nitashawishi wengine kumi mbali na familia yangu mke wangu, house girl, house boy, mlinzi, kwa all means necessary zije kwako... Hata wakuite gaidi sio fisadi peke yake...
 
Ndio maana mkapa kawaita malofa.

Nchi hii ina wenyewe wewe!

Nchii inawenyewe? hawa ndio walioshiba na kunenepeana hata hawajui kwa nini watu wanataka mabadiliko. atajuaje wakati biashara zake halipi kodi, ana kazi nzuri wakati cheti ni cha kuunga unga. JIngalao leo umejikoroga
 
Hata kama fisadi utamchagua?.that's wht so called ULO**& UPU***....,chagua wa ACT wewe..
 
Jana ndo nikagundua Magufuli kaishiwa sela,ati anawatisha wananchi wasikubali mabadiliko ya haraka ati watakuwa kama LIBIA.Nina swali kwake kama atakuwa humu;
Mabadiliko tunayotaka ni ya haraka au yamechelewa?
Mabadiliko anayoyaogopa ni kupitia sanduku la kupigia kura sio kwa nguvu zilizotumika LIBIA.
Kwa nini asitoe mfano kwa nchi zilizofanya mabadiliko kwa njia ya uchaguzi na kumuondoa mkoloni mweusi?(KENYA,MALAWI NK........)
 
Eti nchi hii ina wenyewe!Tukianza kuwatafita wenyewe hapa huyo bwana ndovu atabaki?
 
Back
Top Bottom