Hata kama Fisadi, tutamchagua!!!

Hata kama Fisadi, tutamchagua!!!

Ukitaka kumfahamu mgombea anayependwa na wengi..kwa wenye simu za mfumo wa android pakua kura yangu app kwenye play store ihifadhi halafu mpigie kura mgombea wako na uangalie idadi ya kura zake kwa ngazi ya ubunge na urais...
 
Nasema kwa herufi kubwa lowasa ulipo na ss tupo labda ufe.ww ndo rais wetu.
 
Sisi ndio wananchi na sisi ndio wapiga kura. Ubabe, Vijembe, Matusi haisaidii. Sisi tumemkubali. Alete maendeleo, hasilete, tutamchagua tu. Tumechoka!!!

Miaka miwili kafanya makubwa kuliko miaka 50. Ni dalili njema kwa wataka mabadiliko. Anaweza!!

Serikali imara kama kiongozi Fisadi inamshitaki. Miaka 8 yupo benchi hamjamshtaki halafu leo mnatuambia Fisadi! Hatuwaelewi! Imekula kwenu.

Unapomnyooshea mwenzako kidole, eti mchafu, jiangalie na wewe msafi?

Wananchi tumeamua!

Ndio ulofa na upumbavu wenyewe. huo !
 
Sisi ndio wananchi na sisi ndio wapiga kura. Ubabe, Vijembe, Matusi haisaidii. Sisi tumemkubali. Alete maendeleo, hasilete, tutamchagua tu. Tumechoka!!!

Miaka miwili kafanya makubwa kuliko miaka 50. Ni dalili njema kwa wataka mabadiliko. Anaweza!!

Serikali imara kama kiongozi Fisadi inamshitaki. Miaka 8 yupo benchi hamjamshtaki halafu leo mnatuambia Fisadi! Hatuwaelewi! Imekula kwenu.

Unapomnyooshea mwenzako kidole, eti mchafu, jiangalie na wewe msafi?

Wananchi tumeamua!

uwaziri mkuu miaka 2 kafanya makubwa yapi? miaka yake ktk utumishi wa uma kafanya makubwa yapi. acha kukariri propaganda kama kasuku. kazi za magufuli ni kubwa mno. watu wa kaskazini hamuwezi kujua kwa vile tayari mlishakuwa na mabarabara.
 
Mimi lowassa hata ikitokea akawa bubu sasa,akawa mlemavu, akavunjika miguu na mikono, hata ikiwa atakufa tarehe 25 au 26 bado ntampigia kura.

Sihitaji hotuba wala chochote kutoka kwake kumchagua. Lowassa we love you dearly. Dead or alive i will vote for you.
 
Hata kama fisadi utamchagua?.that's wht so called ULO**& UPU***....,chagua wa ACT wewe..

Siwezi kuchagua wasaliti ambao kiongozi wao mkuu Yuda alisema ni chama Waha. Na katika kuwashawishi waislamu akawatangazia waislamu kuwa ni chama chao. No way!
 
kuwa na akili ww, hayo hajafanya yy yamefanywa na serikali madhubuti ya ccm chini ya jemedari JK. Na alipohusika na rushwa serikali hiyohiyo madhubuti ya CCM ikamshinikiza ajiuzuru na upo uwezekano wakampeleka mahakamani kama Mramba na Yona.
WW akili yako haiwezi kuwa sawa kwa kumfgilia raisi mtetea wabakaji na ugaidi, jamani hata kama umehongwa acha kujitoa akili na utu wako kiasi hiko ni udhaifu mkubwa.
una msapoti mgombea mwenye kuwadharau wa tanzania kwa kiwango kisichovumilika, yaani anawabebea na mabasi kutoka mikoani kuja da kuwaambia nendeni mkasome hotuba ya uzinduzi mtandaoni. Sasa tunajiuliza huyu fisadi msaka uraisi wa nchi kwa kutumia pesa ana nia njema kweli na nchi yetu, jibu? ni hapana tunamtaka aache kuhadaa wananchi wamemchoka na uwongo wake, ni aibu mtu mzima kama yy kuwa muongo

Sisi ndio wananchi na sisi ndio wapiga kura. Ubabe, Vijembe, Matusi haisaidii. Sisi tumemkubali. Alete maendeleo, hasilete, tutamchagua tu. Tumechoka!!!

Miaka miwili kafanya makubwa kuliko miaka 50. Ni dalili njema kwa wataka mabadiliko. Anaweza!!

Serikali imara kama kiongozi Fisadi inamshitaki. Miaka 8 yupo benchi hamjamshtaki halafu leo mnatuambia Fisadi! Hatuwaelewi! Imekula kwenu.

Unapomnyooshea mwenzako kidole, eti mchafu, jiangalie na wewe msafi?

Wananchi tumeamua!
 
uwaziri mkuu miaka 2 kafanya makubwa yapi? miaka yake ktk utumishi wa uma kafanya makubwa yapi. acha kukariri propaganda kama kasuku. kazi za magufuli ni kubwa mno. watu wa kaskazini hamuwezi kujua kwa vile tayari mlishakuwa na mabarabara.

Kazi za Magufuli kwa miaka 10 zimeligharimu taifa bn 900 kama adhabu kwa kutukuwalipa makandarasi. Hakuna ukasuku. Kama watu wa kaskazini walishakuwa na barabara unataka wamsifie Magufuli kwa lipi? Thinik before you leap.
 
kuwa na akili ww, hayo hajafanya yy yamefanywa na serikali madhubuti ya ccm chini ya jemedari JK. Na alipohusika na rushwa serikali hiyohiyo madhubuti ya CCM ikamshinikiza ajiuzuru na upo uwezekano wakampeleka mahakamani kama Mramba na Yona.
WW akili yako haiwezi kuwa sawa kwa kumfgilia raisi mtetea wabakaji na ugaidi, jamani hata kama umehongwa acha kujitoa akili na utu wako kiasi hiko ni udhaifu mkubwa.
una msapoti mgombea mwenye kuwadharau wa tanzania kwa kiwango kisichovumilika, yaani anawabebea na mabasi kutoka mikoani kuja da kuwaambia nendeni mkasome hotuba ya uzinduzi mtandaoni. Sasa tunajiuliza huyu fisadi msaka uraisi wa nchi kwa kutumia pesa ana nia njema kweli na nchi yetu, jibu? ni hapana tunamtaka aache kuhadaa wananchi wamemchoka na uwongo wake, ni aibu mtu mzima kama yy kuwa muongo

Kama JK ni jembe, basi hakuna atayeshindwa kuwa rais. Kwa miaka yote tangu uhuru hajawahi kutokea rais dhaifunkama huyo.
 
Tutampa lowasa nchi ugonjwa siyo kikwazo kama hauthri uwezo wa kufikiri, mbona mkapa tulimpeleulaya tukamtibu na akarejea na kuikuta nchi salama juzi tu tulimpeleka jk akatumbue busha marekani ya alirejea akiwa mzima na el tutampeleka ulaya akatibiwe hata hivyo ikulu hakuna kubeba zege, ,
 
HAMELEWEKI MNACHOKICHUKIA WALA MNACHOKITAKA. KWELI NYIE NI KAMA ALIVYOSEMA MKAPA. HATUWEZI KUTOA URAIS KWA MTU ALIYESHINDWA KWENYE INTERVIEW(USAILI) YA URAIS. JANA ILIKUWA NDIO SIKU YA USAILI WAKE, AMESHINDWA KUJIELEZA KABISA. SASA TUMPEJE KURA? NYIE MPENI LAKINI SIDHANI KAMA HAJAJIWEKA SAWA ATAUPATA HUO URAIS KWA KURA ZENU. BADALA YA KUMWAMBIA UKWELI NYIE MNAMPA MATUMAINI WAKATI KURA ZENU PEKEYAKE HAZITOSHI KUMPELEKA IKULU.MNAONEKANA KUCHANGANYIKIW SASA WANDUGU. MMEKOSA DIRA. pOLENI WANDUGU
 
Kwamiaka ishirini nimekuwa nikiimbishwa sera za ccm maji maji, barabara, afya, vinafanyika ila nikipiga speed ya utekelezaji na mda, haitaji rocket science.... Lowasa baba kura hii ni yako napia naahidi nitashawishi wengine kumi mbali na familia yangu mke wangu, house girl, house boy, mlinzi, kwa all means necessary zije kwako... Hata wakuite gaidi sio fisadi peke yake...

Mimi na nyumba yangu yenye familia ya watu 8 na kijiji kizima kura yangu kwa LOWASA.nimechoka na hiki chama kina wenyewe.
 
Back
Top Bottom