Hata John Komba na Hadija Kopa hajawahi kurekodi Albam nzima ili kusifia CCM, Huyu Harmonize kavunja rekodi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
119,501
222,890
Hatari ya Jambo alilolifanya huyu kijana ni kubwa sana, hata kama amelipwa lakini hakuangalia mbele na wala hakujiuliza, kwanini Hadija Kopa au John Komba hawakufanya hivyo.

Kusifia ccm au Samia ni kujitenga na jamii, hawa hawapendwi na jamii, wanapendwa na Chawa, Muziki unataka watu, ukijitenga na watu unajiua kisanii, iangalie TOT au Vijana Jazz leo, hawa hata wakifanya Tamasha la Wazi Mbagala hawatapata watu.

Maana yake ni kwamba mwisho wa Harmonize ni 2025 baada ya CCM kung'olewa, anauwa kipaji kibwege sana!

Screenshot_2024-05-27-11-19-09-1.png
 
Hatari ya Jambo alilolifanya huyu kijana ni kubwa sana, hata kama amelipwa lakini hakuangalia mbele na wala hakujiuliza, kwanini Hadija Kopa au John Komba hawakufanya hivyo.

Kusifia ccm au Samia ni kujitenga na jamii, hawa hawapendwi na jamii, wanapendwa na Chawa, Muziki unataka watu, ukijitenga na watu unajiua kisanii, iangalie TOT au Vijana Jazz leo, hawa hata wakifanya Tamasha la Wazi Mbagala hawatapata watu.

Maana yake ni kwamba mwisho wa Harmonize ni 2025 baada ya CCM kung'olewa, anauwa kipaji kibwege sana!

Kwaiyo
Kwahiyo✅

Ata
Hata✅

Hajawai
Hajawahi✅

Ndo
Ndio✅

Huu muda angeutumia kuandika lugha yake kwa ufasaha ingependeza zaidi,
Sasa Harmonize akishuka si ndio chance yake yeye Ney ili ampite Harmo?

Tuliosomea Cuba,hapa Ney ameumia kwa alichokifanya Harmo,

Kila mtu ashinde mechi zake,apunguze ushauri,watu wanamipango yao.
 
Kijana anajua kucheza na fursa, anajua msimu wa uchaguzi unakaribia so anachojua atajitangaza na kupata chochote kutokana na ukubwa wa hicho, anajua hata wasiojua msiki watamjua wapenzi wa hicho chama, all in all anaweza kucheza na majira,Magu alimuweza tena kamuweza na Samia
 
Back
Top Bottom