Eti ni kweli kuwa wewe ni jini mahaba kama wanavyodai hapa JF au ni uzushi tu jamani?Ya leo kali. Sijawahi waza hii kitu.
hii week tutaona mengi maana haya masuala ya kuamka na hangoverNyumba nzima nimeimwagia supu ya kitimoto. Leo ataishia kwa jirani.
Lisemwalo lipo. Huenda ikawa hivyo.Eti ni kweli kuwa wewe ni jini mahaba kama wanavyodai hapa JF au ni uzushi tu jamani?
Lisemwalo lipo. Huenda ikawa hivyo.
Uchawi ni karama toka kwa Mungu au mungu??!!! Makubwa haya tena.Uchawi au mchawi ni MTU mvurugaji lkn uchawi ni sifa na zaidi ni karama toka kwa Mungu
Isipokuwa watu wanautumia vibaya, badala ya kutendeneza wao wanatumia kuharibu
KAMA NAN MFANO?Mi najua tu wachawi. Ndo wengi
Shumileta!