Hata hii ni njia kupunguza bajeti serikalini tujipange

mtulivuu

Member
Dec 18, 2015
60
24
Kwa kweli nimeona kasi kubwa inayofanywa na serikali ya awamu ya tano katika kupunguza matumizi serikali na nikagundua kuwa hata hii ni njia inayotumiwa pia.

Nimeona habari ya TTCL kupunguza wafanyakaz 400 hii ni sawa na kusave milion 120 kwa mwez au bil 1.44 kwa mwaka nimepiga kwa misharaha ya kima cha chin yan laki tatu (300,000tshs) kwa hyo badae kampun itasema imeongeza mapato yake kwa kupunguza style hyo na pia baadhi ya viwanda tanga kufungiwa kwa sabab ya kuchafua mazingira.

Namkubali sana magufuli ila asideal sana na minority badala ya majority watu wanataka fursa mpya za ajira ,kushusha bei ya bidhaa na vyakula ,Na hao jamaaa a.k.a(majipu) kiboko yao n katiba mpya tuu maana ndo uchochoro wao huo, tupia mifano mingine ya kubana matumizi uliyoiona.
 
Kwa kweli nimeona kasi kubwa inayofanywa na serikal ya awamu ya tano katika kupunguza matumizi serikali na nikagundua kuwa hata hii n njia inayotumiwa pia.....
Nimeona habari ya TTCL kupunguza wafanyakaz 400 hii ni sawa na kusave milion 120 kwa mwez au bil 1.44 kwa mwaka nimepiga kwa misharaha ya kima cha chin yan laki tatu(300000tshs) kwa hyo badae kampun itasema imeongeza mapato yake kwa kupunguza style hyo .,na pia baadhi ya viwanda tanga kufungiwa kwa sabab ya kuchafua mazingira....
Namkubali sana magufuli ila asideal sana na minority badala ya majority ...watu wanataka fursa mpya za ajira ,kushusha bei ya bidhaa na vyakula ,Na hao jamaaa a.k.a(majipu) kiboko yao n katiba mpya tuu maana ndo uchochoro wao huo....tupia mifano mingine ya kubana matumiz uliyoiona%%%%
Hivi unapopunguza wafanyakazi kazini, umeongeza ajira au unaongeza maskini mtaani?
Huku ni kukosa ubunifu, badala ya kubuni namna ya kuwafanya walioko kazini kuwa productive unawaachisha kazi kwa kubana matumizi kwa faida ya nani?
Ukiongeza idadi ya wasio na kazi ndo umeboresha maisha?
Tufikiri upya
 
Mi naona serikali inajitahid kupiga hatua moja tunarud kumi nyuma ...naona saiv kila mtu anafanya analojisikia nimrad asikike tuu hii ndo inanifanya kuamin kwamba mafahar wawili wakigombana kweli nyas ndo huteseka ....nikiangalia bomoa bomoa sijui wakaz zaid 20,000 kukosa makaz mi namuombea asiwe anakurupuka afikir kabla ya kutenda ....
Rais badala ya kuboresha mitaala ya kuwafundisha watoto na mazingira rafiki ya kusomea etii anarudisha vboko mashulen ...kwan huko tumepeleka punda au watoto jaman......tukiacha ushabiki na kuongea facts na utelezaj tutasonga mbele hamna namna ingine
 
Back
Top Bottom