Hata Brazil walifungwa 7 na Germany

Tusitazame upande mmoja tu wa brazil kufungwa nyingi...je hao brazil wameshinda mechi ngapi? Zinalingana na stars na je kufungwa? Walifungwa na algeria? Huezi kutulinganisha na brazil sio saizi yetu si vitu vyetu bhutan, Timor hao ndo level yetu
 
Waarabu washukuru walicheza na taifa stars! Wangecheza na ccm wangeibiwa magoli yote!
 
Nulitabiri tano Dada mmoja huku akaongeza mawili kweli yametimia 7 jecha yuko wapi haya matokeo sio halali kabisa must mpira urudiewe jechaaaa
 
Isiwe shida Taifa stars kufungwa idadi hiyo huo ndio mpira,Algeria ni timu kubwa sana yenye wachezaji wote ma pro wanaocheza ligi mbalimbali za ulaya na america la msingi kwetu ni kutafuta tunaondokaje hapa tulipo na kusonga mbele na ikibidi timu yetu sasa iangaliwe ikarabatiwe na kupewa michezo mingi ya kirafiki ya kimataifa ili kujenga uzoefu utaona pia mechi hii wachezaji wetu ni tayari ki akili walishafungwa hata kabla ya mechi na hii ilichangiwa na tension kubwa walokua nayo wachezaji wetu kiukweli ilikua mechi ngumu ambapo walitakiwa kicheza kwa utulivu na umakini mkubwa.

Rafu zisizo na akili zimetugharimu..bado wachezaji wajifunze na wajue nidhamu ni silaha nzuri ktk mchezo angalia mfano nidhamu alonayo Samatta ni kwa kiwango kile angalau....vijana wamejitahidi lakini bado kuna mapungufu ya kufanyiwa kazi hasa upande wa no 6 pia ukuta wa ulinzi nyuma kipa bartez nae leo kiasi hakua makini hasa kwa goli la kwanza,

Ni ushauri mzuri sana bt kwa sisi wapenda soka matokeo km haya yanauma sana ukiwa unaipenda timu,wasiwasi ni kwamba sioni mipango ya muda mrefu katika kuendeleza soka la vijana ambao watabebeshwa majukum haya watu wako busy wanapiga dili. Ili tufanikiwe ni kuwekeza soka la vijana,kwani hatutaweza kufika mbali kwa kutegemea miujiza aisee....Mungu ibarka Tanzania wadau wa soka watoke usingizini
 
Tusitazame upande mmoja tu wa brazil kufungwa nyingi...je hao brazil wameshinda mechi ngapi? Zinalingana na stars na je kufungwa? Walifungwa na algeria? Huezi kutulinganisha na brazil sio saizi yetu si vitu vyetu bhutan, Timor hao ndo level yetu

unahara tu
 
Back
Top Bottom