Hasira zinanizidia msaada.

tamuuuuu

JF-Expert Member
Mar 10, 2014
21,228
27,896
Wakuu heshima kwenu.

Ki msingi hasira inanizidia hapa nilipo.Nashindwa kula,kulala wala kuangalia hata screen.
Pamoja na kupata taarifa nzuri jana za mtoto wangu wa ujana hot kuwa kaongoza darasani kwa darasa la pili kati ya wanafunzi 127,lakini nazidiwa.

Chimbuko la hali hii ni kikao cha alhamisi cha job.Tatizo ni kundi moja kulazimisha watu wengine kufuata maamuzi ambayo wengine hawayataki na bila shaka si lazima mtu ayafuate.
Kuna miungu watu wanataka kuabudiwa na kwamba wao wapo sahihi ktk kila kitu.

Wengi tulipinga kabisa waziwazi,ila tangu siku ile naona halinitoki na like I wish nifanye kitu cha ziada zaidi.

Nisaidieni kupambana na kuepuka hali hii.
Asante.
 
Wakuu heshima kwenu.

Ki msingi hasira inanizidia hapa nilipo.Nashindwa kula,kulala wala kuangalia hata screen.
Pamoja na kupata taarifa nzuri jana za mtoto wangu wa ujana hot kuwa kaongoza darasani kwa darasa la pili kati ya wanafunzi 127,lakini nazidiwa.

Chimbuko la hali hii ni kikao cha alhamisi cha job.Tatizo ni kundi moja kulazimisha watu wengine kufuata maamuzi ambayo wengine hawayataki na bila shaka si lazima mtu ayafuate.
Kuna miungu watu wanataka kuabudiwa na kwamba wao wapo sahihi ktk kila kitu.

Wengi tulipinga kabisa waziwazi,ila tangu siku ile naona halinitoki na like I wish nifanye kitu cha ziada zaidi.

Nisaidieni kupambana na kuepuka hali hii.
Asante.
pole mkuu ila hata mm huwa inanitokea yaani kama naongea na cm natamani m2 angekuwa karibu nimfanye ki2 mbaya ila huwa kuipunguza naenda kwenye mziki mkubwa naskiliza n hatimaye zinaisha ila mm ni mpenz wa mziki,cjui ww.....ila jitahidi kukaa mbali na wa2 wanaokuuzi maana inaweza fanya jambo baya likakuharibia maisha.
 
pole mkuu ila hata mm huwa inanitokea yaani kama naongea na cm natamani m2 angekuwa karibu nimfanye ki2 mbaya ila huwa kuipunguza naenda kwenye mziki mkubwa naskiliza n hatimaye zinaisha ila mm ni mpenz wa mziki,cjui ww.....ila jitahidi kukaa mbali na wa2 wanaokuuzi maana inaweza fanya jambo baya likakuharibia maisha.
Asante Mkuu,tangu nimeandika Uzi asubuhi ilibidi nijichanganye mtaani then nikaongea mengi sn na bro ambaye nimejuana naye tu huku ugenini.Naona imekuwa afadhali.
 
Pole sana,hayo ndo tunayokumbana nayo makazini. Hapa kituoni kwangu mkuu wa kituo na mume wake wanachoamua ndicho wanachotaka tufanye.Mimi nimeapa sitakubali ujinga huu.
 
Kama vipi acha kazi mkuu, tukutane kwenye stress za mtaani huku.
Mkuu nahisi hivo,maana naona huku nje ya bongo uchwara pananishinda.


Oooooops!!yani nilizidiwa sn Leo,hadi kuumwa,na Kesho job tena.Ila nimepanga kuwa kimya kabisa na sitaongea na mtu wa kundi chokozi.
 
Mkuu nahisi hivo,maana naona huku nje ya bongo uchwara pananishinda.


Oooooops!!yani nilizidiwa sn Leo,hadi kuumwa,na Kesho job tena.Ila nimepanga kuwa kimya kabisa na sitaongea na mtu wa kundi chokozi.

Pole jitahd kukaa kimya mkuu ukiona hali mbaya toka eneo hilo na tafuta maji unywe kdg inasaidia hlf jitahid kuwapuuzia yan kuwa mpuuziaji hasira zitakupita kando
 
Back
Top Bottom