Hasira ya Serikali ya Kenya dhidi ya Majaji ni kuzuia Ubinafsishaji wa Bandari ya Mombasa

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,438
2,242
Hakika Naipongeza Mahakama za Kenya kwa Uamuzi wake wa kukataa Kubinafsishwa kwa Bandari ya Mombasa kulikotaka kufanywa na Serikali.Uamuzi huo Umeikasirisha sana Serikali ya Kenya Kwanza na kupelekea Rais Ruto kutoa Matamshi yaliyozua Mjadala mkubwa Nchini Kenya

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Kama mimi bwege wewe "Ubwabwa" ndio maana mzee Kenyatta aliwahi kumwambia Nyerere anatawala MAITI na maiti zenyewe ni pamoja na Wewe Maiti hugeuzwa geuzwa bila kukataa

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
kenya haijapinduliwa (bado) hivyo wana uwezo wa kufanya maamuzi yao wenyewe, siyo kila nchi ina huo uwezo, kenya hata umeme hawazimi kama nchi nyingine …
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…