we bwege km mabwege mengine. Kahamie kwa hao wajinga kwetu ujinga huo hauwezekani. Hauwezi kukwamisha maendeleo ya nchi kwa maslahi ya watu wachahe, napenda sana mfumo wa utawala wa nchi yetu. Rais ni mkuu wa nchi lazima awe na sauti ya mwisho bila kuyumbishwa na vyombo ambavyo havijaomba ridhaa ya wananchi kuwaongoza. hatutaki rais wetu ayumbishwe na kundi la watu wenye maslahi yao au wamekula rushwa