Haya ni madhara yakutegemea nguzo moja ikianguka na ww chini ww wekeza sehemu nyingu hata zingua kwanza lady wanapenda mtu player na aggressive sasa ww jilize lize uendeshwe ovyoo...Act as man ...treat ur lady Badly sometime
kama hujamtafuta cku 2 afu pengine hukutoa hata taarifa unataka akufurahie tuuu.... ishi na mwanamke kwa akili mkuu
Hta mim usiponchck 2days hyo ni kesi..tena nakupa mnuno wa buku 10..ubiz huo vipi!! Ulikua waumba mtu au......ila ongea vzur na mpenzio muyamalize
Mambo mengine bora muwe mnajiongelea wenyewe kimoyomoyo maana ni kujitia aibu tu.
mwarabu113
Wote mnamakosa!
Kaen zungumzen! Peaneni mwingozo!
Hajakutafuta, hujamtafuta! Halafu mnanuniana! Unless alikutafuta ukapiga busy! Hapo shuka tu jieleze vzur kwa mwenzio!
Ila next time, hata kama uko busy kiasi gani taarifa kwa mwenzio ni muhimu! Huwez niambia wewe 24 hrs hujagusa simu, yuko sahihi sana! Vaa viatu vyake utamuelewa! Unless hamna future plan yoyote!
Kila la kher mkuu! !
mwambie tu its over
aibu gani uloiona hapo?
hawakosekani bwanahahahaha.....tamwambia miss,ila ntateleza wapi tena