Hasira kwa mpenzi wangu zimezidi

Hasira kwa mpenzi wangu zimezidi

mwarabu113

Senior Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
121
Reaction score
32
Wadau,

Mpenzi wangu amekua mtu wa hasira sana saivu,anaweza nuna siku nzima asikutafute kwa jambo dogo tu,na hivi juzi tumeachana kwa kisa kidogo tu.

Nlikua busy kidogo kwa siku2 sikumtafuta kwenye simu na yeye hakunitafuta pia,siku ya 3 asubuhi nikamtext bebee nilichojibiwa unasemaje then yakafata majibu ya ovyo na hakutaka nimtafte tena.

Kumuulza sababu akanjbu kamuulze uliekua nae mpaka ukanisahau mimi kiukweli nikawa namshangaa tu, sasa wakuu hichi kisirani anatoa ap? Na mpka sasa kanuna na hataki hata nimtafute.

 
hivi mtoto wa kiume unaandika hivii kweli?! .........ndio mana mnaachika pumba.vuuuu

naiman lakini umeelewa nlichokiandika,,ningekuona wa maana kama muda wa kuandika huo upuuzi ungeutumia kutoa ushauri...nawasiwasi nahisi kusoma na kuandika umejifunza ukubwani
 
Niliwahi kuambiwa na dada flani kwamba, now days I need ATTENTION, LOVE & CARE. sababu kama ni pesa hata mimi najua kuzitafuta.
Mkuu jaribu kujichunguza kwenye hayo nilio yataja hapo
 
Nisipompigia au yeye kunipigia six hours itakuwa ajabu.

Yuko sahihi, huwezi ukawa busy hata simu hushiki wala teext usitume.

Muache tu dada wa watu utafte unayeweza kuendana nae.
 
Back
Top Bottom