Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Jamaa kafika nyumbani kwake,kakuta mlango wazi,kazama moja kwa moja hadi chumbani,akamkuta mkewe na rafiki yake kitandani wako uchi wa mnyama kama walivyozaliwa.Jamaa kwa hasira akampiga risasi na kumuua rafiki yake.Mkewe huku akivaa nguo akasema,'kwa mtindo huu utaua marafiki zako wote!".