View: https://m.youtube.com/watch?v=kpxhBBVrXfk
Kiongozi wa Chama cha Ukombozi wa Umma - CHAUMMA mheshimiwa Hashim Rungwe akilaumu chama kongwe dola CCM kwa matendo yake, na kusema kuwa huu ni ukatili.
CCM kuwafanyia ukatili na ubaguzi raia katika matumizi ya kodi zetu, gharama za maisha kuwa juu, ukosefu wa umeme, kodi za bidhaa kuwa juu mno..