Harufu ya Ufisadi na Ubadhirifu Mkoani Simiyu

Na wewe anzisha SACCOS yako bubu kama wao. Ukikopa songesha vocha ya 500 unarudisha 600 ata ikiwa ni ndani ya lisaa 1 hili unasemaje? Ebu tumsikilize mkurugenzi yeye anasemaje?
 
Kiongozi poleni sana, kuna wilaya maafisa utumishi wezembe sana. Wakati kuna wilaya ajira mpya washaanza kupata mishahara kuna zingine mnaweza kusubiri hata miezi mitatu, pesa ya kujikimu nayo uchelewa hata miezi 2
 
Mbona kama unalimnda mkurugenzi?
Ni muhalifu kama wahalifu wengine yule jamaa, huwezi anzisha Saccos bubu kisha uwakopeshe watumishi ambao hujawalipa mishahara halafu uwe ni msafi.
Wewe mleta Mada ni Mfitini na Mtu ambaye aidha ni mjuaji usiye na akili kichwani. Hao watumishi unaosema wameripoti tarehe 28/7/2022 at the same time unasema hawajapewa mshahara wala posho. Huo mwaka ni wa kalenda ya Nchi gani???
Unalalamikia makato ya elfu 5?? Kisa Mwenge??? Unajua maaana ya Team work Building??? Hujui kwamba wakati wa Mwenge ndio Tamasha pekee watumishi hukutanishwa kucheza, kunywa na kula pamoja?? Sasa wewe unataka mbinu za Kiuongozi za DED zifanane na Mtizamo wako?
Kama wewe ni ajira mpya punguza kiherehere Utumishi wa Umma hauko hivyo!
Eti SACCOS unaona haifai?? Ulitaka watumishi waende Bayport au Maboto ambako riba ni 40%???
Anyway watu wa dizaini yako ni wachawi ambao mmekosa zana lkn moyoni wewe ni mchawi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…