Harufu ya ufisadi kijijini Msoga kwa JK

Harufu ya ufisadi kijijini Msoga kwa JK

MAHORO

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
7,585
Reaction score
2,570
Wadau, Kuna majengo ya Kifahari yamejenga japo Msoga, Pia kuna barabara za lami zinaingia ndani ya Kijiji.

Sijui nani kafanya yote haya? Je, ni JK? Na kama ni yeye, Kafanya kwa hela zipi? Na kwanini iwe Msoga tu?
 
Utaumiza kichwa chako bureee kutafuta majibu...Watanzania wengi mwaka 2005 na 2010 walikuwa ni janga la kitaifa....
 
Utaumiza kichwa chako bureee kutafuta majibu...Watanzania wengi mwaka 2005 na 2010 walikuwa ni janga la kitaifa....

ni kweli mkuu, waliopiga kura wa miaka hiyo ni janga la taifa.
wamelirudisha nyuma sana taifa letu mpaka tunajiogopa.
 
Mkuu kajiendikishe kwanza, nenda na mwenzio
 
Wadau, Kuna majengo ya Kifahari yamejenga japo Msoga, Pia kuna barabara za lami zinaingia ndani ya Kijiji.

Sijui nani kafanya yote haya? Je, ni JK? Na kama ni yeye, Kafanya kwa hela zipi? Na kwanini iwe Msoga tu?

Tukutane October 25
 
Back
Top Bottom