Njaa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2009
- 1,013
- 391
Hello wana JF
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikikojoa mkojo mchafu sana tena unanuka kupita kiasi, nimeenda hospital mara kadhaa na kupewa dawa ambazo zilinisaidia kwa muda mfupi sana. Nimejaribu kubadili chakula lakini wapi? Hali ni mbaya zaidi asubuhi maana mkoja unanuka kama mfereji wa maji machafu vile. Nimejitahidi kunywa maji mengi sana bila mafanikio, nimejaribu pia kunywa maji ya madafu bila mafanikio.
Please naomba msaada katika hilo, ukiweza ni-PM
Njaa
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikikojoa mkojo mchafu sana tena unanuka kupita kiasi, nimeenda hospital mara kadhaa na kupewa dawa ambazo zilinisaidia kwa muda mfupi sana. Nimejaribu kubadili chakula lakini wapi? Hali ni mbaya zaidi asubuhi maana mkoja unanuka kama mfereji wa maji machafu vile. Nimejitahidi kunywa maji mengi sana bila mafanikio, nimejaribu pia kunywa maji ya madafu bila mafanikio.
Please naomba msaada katika hilo, ukiweza ni-PM
Njaa