Wakuu nilileta uzi wangu wa kuomba msaada kuhusu harufu mbaya ya mkojo wangu, lakini sijui ilienda wapi? mambo yapo hivi
Kwa muda wa miezi kadhaa sasa nimekuwa nakujoa mkojo mchafu sana tena wenye harufu mbaya mno, mambo yanakuwa mabaya zaidi hasa asubuhi maana mkojo unanuka kama mfereji wa maji machafu ya chooni.
Nimetumia dawa kadhaa za hospital bila mafanikio, nimebadili vyakula bila mafanikio, nimejaribu kunywa maji ya madafu bila mafanikio......Najua kuwa humu ndani kuna kila aina ya watu, please nipeni msaada juu ya hili
Nawakilisha