Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
[emoji15] [emoji15]someone is typing
Amekuwaa kama mganga wa kienyeji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kapatwaaAmekuwaa kama mganga wa kienyeji.
Amealikwa kwa Red capet [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha kweli cover ile cover jeusiiiKaulizwa kwa nini umefanya hivyo akasema eti amefanya cover ya Alikiba alivovaa ile nguo kwenye shoo yake kule Sauzi...Hahaha huyu jamaa kwa vituko noma
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha kweli cover ile cover jeusiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ben Paul bangi anazovuta sioHeri yake kuliko Ben Po na ile picha tako nje limepakwa mafuta linang'aa
ni kweli mkuu kuna video anaimba kabisa wimbo wa brenda fassie ule vulindelaHuyu mkali vp hapitwi? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Au ni edited mazee