Harmorap Adaiwa kuwa ni Freemanson, Account yake FB na PETE yadhirisha hilo
.
JE UMAARUFU WAKE WA GHAFLA UMESAIDIWA NA FREEMANSON AU KIKI? TOA MAONI YAKO HAPA
Nikuuliza kunamtu anajua maana ya Freemanson? Ningependa kwa mtu ambaye anajua anachoongea siyo uliyosikia kwa mtu au watu.
Kwani wengi wetu tuna upotofu fulani kuhusu hawa jamaa wa Freemanson.
Wakuu hyo habari sio ya kweli, ila hao matapeli walioweka namba zao hapo juu na majina sijui kaka mark Richard ndo matapeli wakubwa wanatumia hii thread kujitangaza ili wapigiwe simu.. My Take mods waufute Uzi huu haraka sana la sivyo Jukwaa la JF litakua linatumika kutangaza utapeli wa wazi wazi
Ukiangalia kwa umakini tu huo mkono wenye Pete sio wa kijana ni kama wa mzee, Huyu mleta Uzi ni mmoja wao ndo maana wameweka na namba zao ili mtu awapigie..
Harmorap Adaiwa kuwa ni Freemanson, Account yake FB na PETE yadhirisha hilo
.
JE UMAARUFU WAKE WA GHAFLA UMESAIDIWA NA FREEMANSON AU KIKI? TOA MAONI YAKO HAPA
View attachment 516317
Harmorap Adaiwa kuwa ni Freemanson, Account yake FB na PETE yadhirisha hilo
.
JE UMAARUFU WAKE WA GHAFLA UMESAIDIWA NA FREEMANSON AU KIKI? TOA MAONI YAKO HAPA