acheni majungu kila mtu ameumbwa na M/Mungu na kabla hujafa hujaumbika, kwani kuna mtu anaweza kuumba eti huyu jamaa anatia kinyaaa ww wakati unazaliwa ulifikiri utakuwa handsome acheni kashfa, kama hajui kuimba kwako kwa wenzako wanaona anajua kuimba, mbona ww hata kipaji cha kuimba hata kwaya huna acheni ulofaaa, ukikasirika imekufika pimbi ww