Harmonize: Wolper ni mke wangu, bado ubani tu

Harmonize: Wolper ni mke wangu, bado ubani tu

40090649fc7ac26de5402652d7661d18.jpg

Zamu yake
Hahaha
 
Mbwa mbabe ndiye anapata papuchi, hawezi kaa kwenye foleni kamwe.
Hata kama... Mara zingine ni vyema mtu ajihifadhie heshima hata kidogo tu... Limama lote lile kumvulia mtoto chupi!!! Anatumia akili zipi kwanza? Halafu heti kwenye mambo muhimu kama kampeni nae ana hamasisha...pumbavu kabisa apeleke laana kwao
 
Hata kama... Mara zingine ni vyema mtu ajihifadhie heshima hata kidogo tu... Limama lote lile kumvulia mtoto chupi!!! Anatumia akili zipi kwanza? Halafu heti kwenye mambo muhimu kama kampeni nae ana hamasisha...pumbavu kabisa apeleke laana kwao
Mbona ninasikia eti yule mkuu wa mkoa kijana mwenye jina la utingo pia anamiliki kwa kuibia na kwenye campaign ya kupanda miti walikuwa pamoja.
 
Uzinifu tuu wcb woote wanamadem ambao wanakaanao yani full kuvunja amri ya sita
 
Chinga boy kimyàaaaaas
Wolper alichanganyikwa kuachwa na Mkongo alikuwa anapunguza stress kwa dogo naona kapata sponsor kaenda China karudi Yuko busy na biashara zake Hana habari na Chinga.
 
Tupeleke watoto shule. Huko angalau wanaweza kuambulia maarifa na exposure.
 
Masikini Harmonize Atarudi Ntwara Kulima Korosho
 
huyu mtoto hakomi tu, yaani full kubeba mijimama inayomzidi, atarudi kwao muda mfupi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom