Sijui ni damu ya enterpreneurship au ni nn lakin sipendi mtu anaepiga chini ya mkanda...huyu jembe ni jembe anakosea sana mtu katengenezwa mpaka kawa hivyo then unaanza lobbying na hatimae atamtupa tu..mbaya sana...kwenye biashara mtu wa namna hii sipatani nae kabisa
.....jamaa ataivunja wasafi in a Half...Believe me !