Hard blasters crew - Tupo nyuma

Hard blasters crew - Tupo nyuma

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
155
Reaction score
182
HARD BLASTERS CREW FT. LB GENIUS
( TUKO NYUMA)

Chorus.

Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo

Tuko nyuma

Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...

Chorus.

Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo

Tuko nyuma

Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...

VERSE..1 ( FANANI )

Tuko nyuma tumechoka hohehae/
Wa Bongo wa leo tulipotoka natamani niwe kipepeo /
Maisha ya shoka ili kushinda yataka upeo/
Ni ma nyoka ma nyoka na twasubiri ni matokeo/
Sijui nchi imeuzwa hatuna dira wala muelekeo/
Tunapuuzwa wazalendo hatuna maendeleo/
Tuna nyanyaswa na wenye vyeo/ wanajifanya madondi malipo ya kodi wananywea vileo/
Lini tutafika usawa huu mwapiga kumeo/
Saa tatu taya mbili za koromeo /
Kweli tuko nyuma bila rushwa hakuna huduma/
Pesa mbele hakuna usawa wala huruma/
Yaani ubaya ubaya kama hauna sogea nyuma/
Kunja ndita kinoma noma rushwa ya chuma/
Kaa mwasibu aone Aibu kula cha Umma/
Haoni hatari kuwa na hekaluu la kifahari/
Yenye ana twaga ana pepeta hana habari/
Ni kazi kwetu walala hoi tusiokuwa na hali/
Kwani macho upima tangu kitambo watu ni chali/
Hatuna makali ya kufanya uzushi kulamba Asali/
Kumbuka wa Bongo pata maono ona kwa mbali/
Na hii ni Bongo nchi safi kwa wenye mali/
Bado na matongotongo mikono juu tumekubari/
Huu sio uongo hapa nchini ni kama Ajali/
Aah natia huruma wa tanganyika roho inauma/
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa, ubadhilifu na upendeleo /
Tuko nyuma
Tuko nyuma..

Chorus.

Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo

Tuko nyuma

Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...

Chorus.

Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo

Tuko nyuma

Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
images-1.jpg

top fans nipeni tathimin yenu hapa..

#fanani wa uhakika
 
niamini mama, nataka uwe na mimii mama, watu wenye fitina wanaleta majungu tuachane"

fanani 🔥
 
( nigga jay )

Na sisi wananchi sio tukae
Mguu juu/
Ni karne ya ishirini na moja Yo..!! ya majukumu /
Tufanye kazi kwa bidii na tuache zipi/
Na tupage mikakati ya kweli na sio kubaki twalaumu /
Katika zama za uwazi jay nazindi kuwika/
Japo Afrika nami nimetupwa na kamwe sichoki nazindi kutwika/
 
Back
Top Bottom