ukwaju_wa_ kitambo
Senior Member
- Sep 15, 2024
- 155
- 182
HARD BLASTERS CREW FT. LB GENIUS
( TUKO NYUMA)
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...
VERSE..1 ( FANANI )
Tuko nyuma tumechoka hohehae/
Wa Bongo wa leo tulipotoka natamani niwe kipepeo /
Maisha ya shoka ili kushinda yataka upeo/
Ni ma nyoka ma nyoka na twasubiri ni matokeo/
Sijui nchi imeuzwa hatuna dira wala muelekeo/
Tunapuuzwa wazalendo hatuna maendeleo/
Tuna nyanyaswa na wenye vyeo/ wanajifanya madondi malipo ya kodi wananywea vileo/
Lini tutafika usawa huu mwapiga kumeo/
Saa tatu taya mbili za koromeo /
Kweli tuko nyuma bila rushwa hakuna huduma/
Pesa mbele hakuna usawa wala huruma/
Yaani ubaya ubaya kama hauna sogea nyuma/
Kunja ndita kinoma noma rushwa ya chuma/
Kaa mwasibu aone Aibu kula cha Umma/
Haoni hatari kuwa na hekaluu la kifahari/
Yenye ana twaga ana pepeta hana habari/
Ni kazi kwetu walala hoi tusiokuwa na hali/
Kwani macho upima tangu kitambo watu ni chali/
Hatuna makali ya kufanya uzushi kulamba Asali/
Kumbuka wa Bongo pata maono ona kwa mbali/
Na hii ni Bongo nchi safi kwa wenye mali/
Bado na matongotongo mikono juu tumekubari/
Huu sio uongo hapa nchini ni kama Ajali/
Aah natia huruma wa tanganyika roho inauma/
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa, ubadhilifu na upendeleo /
Tuko nyuma
Tuko nyuma..
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...
Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
top fans nipeni tathimin yenu hapa..
#fanani wa uhakika
( TUKO NYUMA)
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...
VERSE..1 ( FANANI )
Tuko nyuma tumechoka hohehae/
Wa Bongo wa leo tulipotoka natamani niwe kipepeo /
Maisha ya shoka ili kushinda yataka upeo/
Ni ma nyoka ma nyoka na twasubiri ni matokeo/
Sijui nchi imeuzwa hatuna dira wala muelekeo/
Tunapuuzwa wazalendo hatuna maendeleo/
Tuna nyanyaswa na wenye vyeo/ wanajifanya madondi malipo ya kodi wananywea vileo/
Lini tutafika usawa huu mwapiga kumeo/
Saa tatu taya mbili za koromeo /
Kweli tuko nyuma bila rushwa hakuna huduma/
Pesa mbele hakuna usawa wala huruma/
Yaani ubaya ubaya kama hauna sogea nyuma/
Kunja ndita kinoma noma rushwa ya chuma/
Kaa mwasibu aone Aibu kula cha Umma/
Haoni hatari kuwa na hekaluu la kifahari/
Yenye ana twaga ana pepeta hana habari/
Ni kazi kwetu walala hoi tusiokuwa na hali/
Kwani macho upima tangu kitambo watu ni chali/
Hatuna makali ya kufanya uzushi kulamba Asali/
Kumbuka wa Bongo pata maono ona kwa mbali/
Na hii ni Bongo nchi safi kwa wenye mali/
Bado na matongotongo mikono juu tumekubari/
Huu sio uongo hapa nchini ni kama Ajali/
Aah natia huruma wa tanganyika roho inauma/
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa, ubadhilifu na upendeleo /
Tuko nyuma
Tuko nyuma..
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...
Chorus.
Tuko nyuma kimaendeleo
Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo
Tuko nyuma
Tuko nyuma Tu na kichocheo
Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo...
Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
top fans nipeni tathimin yenu hapa..
#fanani wa uhakika