kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
Kipindi kile alivyoiangusha KANU kule Kenya mbona hatukuambiwa 'Mtanzania aiangusha KANU'
nashangaa hawa wakenya hawataki kutushukuru
lawmaina78 kuanzia sasa na ifahamike kwamba,kupitia mtanzania mwenzetu,singa singa mwenye asiri ya iringa,tapeli la kimataifa ndg Harbinder Singh Sethi, tuliwasaidia kuchochea mapinduzi yaliyopelekea kuanguka kwa KANU.
Last edited by a moderator: