Harbinder Singh Sethi: Mimi ni mtanzania halisi, nimezaliwa Iringa

Inawezekana RITA wanahusika kama Miss Tanzania, maana Tanzania yetu kwa sasa mtu anaweza fanya lolote na muda wowote.
kamsachini nyumbani kwake kama hamjamkuta na pass ya canada kenya na pia ya uingereza.
 
Mmiliki wa kampuni ya PAP inayodai kuinunua IPTL anayejulikana kwa umaarufu kama 'singasinga' kutokana na asili yake ya 'kihindi' amedai kuwa amezaliwa mkoani Iringa hivyo ni mtanzania halisi!

Singasinga huyo ambaye ni Harbinder Singh Sethi aliyasema hayo jana kwa vyombo vya habarii na amenukuliwa na gazeti la Mwananchi la leo.

Haya yanajiri siku chache tu baada ya bunge kumtuhumu kuwa yeye ni mgeni aliyekuja kuihujumu Tanzania. Wapo baadhi ya wabunge ambao walinukuliwa wakisema kuwa wanampongeza mtanzania mwenzao yaani Rugemarila kwa kulipa kodi huku wakimponda vikali Sethi kwa kumtaja kama mgeni mwenye nia ya kulivurufa taifa.

Kuna siku atakuja mtu kutuaminisha kuwa yeye ni Rais wa Tanzania, na sisi blindly tutakuja kupost hapa Jf hiyo taarifa
 
Hili lilikuwa wazi! Lakini linanikumbusha jambo moja, wabunge/wawakilishi wetu sio wadadisi wa mambo. Hukurupuka tu na kuanza kuita wengine majina. Taarifa za kuwa huyu Sethi ni Mtanzania sio ngeni na wakati bunge linaendelea kuna yule mwalimu machachari mwanaharakati Mwl R Mkinga alilisemea hili. Mbunge anapaswa kuwa ni mwelewa zaidi ya mtu wa kawaida ili kauli zake zisilete shida na utatanishi katika maamuzi.

Lakini kama wabunge wenyewe ni hao kila mara wanabaki kutafuta neno la kutusi, NCHI HII IMEKWISHA! Na wewe unayesoma hii hoja yangu- hujajiandikisha kupiga kura na utaleta cha kuleta hapa kwamba umechaguliwa makanjanja! AIBU!
 
Ndiko kuna wajinga wajinga bado!

Iringa na tabora watu hawana ukabila kama ilivyo Kilimannjaro ndio maana wahindi na waarabu wanakupenda.
Kilimanjaro wana ukabila sana lakini wao wakienda sehemu zingine hawataki kubaguliwa.Yaani mkoa mzima wa kilimanjaro hakuna mbunge wa kabila lingine nje ya wenyeji wa wilaya husika.

Mikoa mingine mingi tu imetoa wachaga kibao kama wabunge bila kuwaonea. Ikawapa haki kama watanzania.
Naamini dhambi ya ubaguzi inayofanywa na wachaga kwa makabila mengine kuanzia katika siasa,ajira n.k iko siku Mungu ATAWALIPA SASAWA NA UBAGUZI WENU.

Naamini MUNGU si athumani.Leo mwaweza onea Makabila mengine lakini Mungu lazima atawalipa kisasi kwa walau kuwapa magonjwa ya KANZA,KISUKARI,UKIMWI.PRESSURE N.K kama malipo yenu kwa roho mbaya ya kubagua wengine mkiwa bado katika dunia hii hii.
 
mbona inasemekana residence permit yake ni ya class ya mwekezaji, alikuwa anahitaji resident permit ya nini kama yeye ni mtz? na kama yeye ni mtz inakuwaje atake arbitration ya kesi ziwe zinafanyikia uingereza na si hapa tz? do you get the point?
 
Hiyo Kampuni yao ilikuwa inaitwa RUAHA CONSTRUCTION COMPANY na ilikuwa kampuni kubwa ya ujenzi inayoheshimika mno mikoa yote ya nyanda za juu kusini.Na imejenga majengo mengi mazuri pale Iringa Mjini na mikoa ya nyanda za juu kusini na viwanda na mabarabara .Ilikuwa na ofisi zake Jirani na National Milling Corporation kwenye yale maghala ya National Milling COrporation Pale Karibu na station ya Railways Iringa Mjini.
Ni kati ya kampuni Private ambazo Ziliweza stawi sana kipindi cha UJAMAA na ikawa inapewa tenda nyingi tu za serikali wakati ule wa Nyerere.Hao wameweza kufaniliwa kuanzia wakati wa UJAMAA hadi sasa.

Ni wafanyabiashara kikweli hawajui siasa wanajua biashara na waweza ifanya na kuimudu kwenye mfumo wowote uwe wa kijamaa au kibepari.Huyu kwa wale wanaotaka kujifunza kumudu biashara katika maeneo yoyote yawe ya ndani ya nchi au nje ya nchi na katika siasa za aina yeyote huyu aweza mentor watanzania na kuwaelekeza.Ni kichwa cha uhakika ambacho Tanzania inabidi iendelee kukitumia.

Hela huyu Harbinder wala hajaanza kuzishika pesa nyingi leo kwenye Escrow!! Kwa wale msiomjua!
Ni mmoja katika watanzania wenye akili sana tena sana

Mtu akikwambia watanzania hawana akili au wana IQ ndogo watajie mfano tu Harbinder Singh Seth na Rugemalila
Na wako wengi tu ila sema watanzania hawana tabia ya kujikweza kama raia wengine ambao kutwa wako kwenye TV na maredio.
Well said.....Ila Mmmh akili nyingi huku hatuoni genuine Investment ambazo twaweza sema A angalia Kiwanda kile kiko Iringa, B angalia Kiwanda Fulani Kiko Arusha D angalia Kampuni Fulani Iko Mbeya....aaaha acheni izo...!!!

Unaposemema ni moja ya Watanzania wene akili sana sana, nakubaliana nawe sawa....lakini unapoingizwa kwenye SMART DEVELOPMENT GAMES WHAT DO YOU WANT TO ACHIEVE/GAIN/EARN FROM IT?

Sasa akichagua kutupiga Watanzania nasi tukagutuka kuwa Katupiga Msilete Utetezi uzio na nguvu na mapungufu ya hoja.Ukimlinganisha na Ruge .....Ruge is very smart na pia ni Patriots wakufa mtu...

Kaingia kwenye GAME lakini step ya Kwanza Kaenda TANESCO Kawaambia kwa kuwangata sikio KUWA ANGALIENI HAWA WENZANGU WANAWACHARGE CAPACITY CHARGE KUBWA SANA ............ILO TU TOSHA KUWA HUYU NI MZALENDO..akujiangalia kuwa yeye ni Partners wao hao jamaa wa IPTL na kuwa kwa kusema hayo atajifupunguzia faida pale mkokototoo HALISI AMBAO NI FAIR GAME UTAKAPOTOLEWA.

Ushauri wake huo kwa kuwa kupitia Tanesco yakuwa tunachajiwa Pesa nyingi ulipelekea TANESCO kufungua kesi ya kupata Mkokotoo wenye Fair Play na sio OVER CHARGE.Ikaja pia issue ya Mapene yametoka Mzee Ruge akalipa Kodi na Mchakato wake wote uko Kwenye Mfumo GENUINE hata kama malipo yake toka kwenye ESCROW yamegubikwa na mashaka lakini Muhamara wake wa nini kimeingia na nini kimetoka uko wazi na Transparent kupitia Mkombozi Bank.

Mzee Ruge akaenda mbali kwa kulipa Kodi katika Miharamala yake!!Sasa Singasinga huyu kumlinganisha na Mzee Ruge ni makosa makosa makubwa sana.Mzee Ruge ndani ya GAME kacheza part yake tukiondoa Singa Singa mcheza uchafu wa documents za mauzo ya IPTL kwend P_LINK na Kisha PAP basi Mzee Ruge hana Matatizo na Mchezo kwa kuwa vitu vyake vingi viko GENUINE katika vyombo vya Kissheria Nchini na kwa kadri sie Wabongo tulivyofikiwa na shahidi mbalimbali mbalimbali kupitia vyombo vya habari na Social Media.

Kwenye mchezo mzima huu simuoni Singa Singa huyu mahari popote na genuine documents kwenye vyombo vyetu vya kisheria this is to say role yake aliside KUTUPIGA.Pamoja na kusikika kuwa kazaliwa Iringa na kuwa ni Ndugu na Pindi Chana bado hakuvaa Utanzania na parts zake zote zimegubikwa na vificho ishara ya kuwa kaingia kwenye game HAJUI KUJENGA NCHI BALI ANAJUA IPTL NI DEAL....Acha Watanzania Wampigilie Misumali manake toka ununuzi wake share za IPTL mapaka uchukuaji wa pesa STANBIC BANK mambo yako vuluvulu tu tena mchakato wake huo umejaa confusion na sizani kama watizamaji wa FAIDA ZA MCHEZO WAMEFAIDIKA NA ROLE YA SINGASINGA ILA KATUSAIDIA UPANDE WA VIONGOZI WETU NA WATENDAJI NA MABENKI ambao kwa namna moja au nyingine walipita kwenye mchakato wake tunajiuliza .....what did they want to GAIN FROM IT?

WAMEGAIN INTEGRITY? WAMEGAIN MONEY? PATRIOTSM? AU NOTHING!!!!

Naona Umemlushia dongo Mzee Mengi !!!AhAaaa EAE ebu acha hizo Level ya Mzee huyo na wengineo wengine unao wasema wanaonekana kwenye TV sijui ni wangapi? Mzee yule ni LEVEL ya mbali sana kwenye picha za aina hiyo yako!!! Ameshajitanabisha kuwa YEYE ni NCHI kwanza nategemea ukimpelekea DEVELOPMENT deal za namna hiyo jua part yake itajitanabaisha wazi party yake ni PATRIOTSM & INTEGRITY & MONEY!!!

SASA mtu kachagua Role yake he has nothing to GAIN THAN MONEY deal analoshiriki ni DEVELOPMENT GAME ambalo lengo ni kufungua akili na mawazo ya mifumo ya jamii kujua mapungufu yake na kujenga mifumo mipya.

Ndio maana wenye akili zao CCM wakasema KILA MMOJA ATAVUNA ALICHOPANDA....ukisoma vitabu vya games hizo vingi vinasema katika hizo human games WHAT DO YOU WANT TO ACHIEVE FROM IT?

SINGA SINGA ALITAKA KUACHIVE NINI?
 
Uh haikatazwi kufikiri kama Sethi ni mtanzania wa Iringa, Lukuvi wa Iringa, waziri wa fedha aliyefariki (kama si kunanihiiiwa) wa Iringa....hapa kuna hadithi nzuri ya kueleza juu ya sakata la Escrow....halifikiriwi kwa hivyo ila naona ni kama linaelekea huko....!
 
Tafadhali fanya adabu. Shemeji yako kwa nani, nikome usitake kujipendekeza kwangu, kwanza badili hiyo ID, usijipendekeze bila mpango.

Shemeji usiwe mkali hivyo, umemwambia nini brother? naona amenipigia simu kwa ukali. Nitapita basi baadaye hapo Kariakooo tuzungumze mambo ya kifamilia.
 
Back
Top Bottom