Harambe ya UKAWA magumashi

Harambe ya UKAWA magumashi

Jambo la msingi hapa ni kwamba, hule haukuwa ni kodi au mkopo, watu walijitoelea, na unapotoa sadaka na kutaka kujua imetumikaje, inakuwa sio sadaka bali ni mkopo wenye masharti
Hela hujatoa mrejesho unataka wann, kwnn hamuwezi kuona kitu na kunyamaza, kitu hakikuhusu unashadadia kaaa umetoa million
 
4 billion zimepatikana na jumla ya wachangiaji ni zaidi ya Million 9, kwa hiyo wewe mleta mada elewa kuwa hadi sasa Lowassa ana kura zaidi ya Million 9.
 
Wewe utakuwa ni msaliti kabisa una hoji vipi pesa za Mbowe?
 
Hio inaitwa backup
Wanajarib kufidia gharama za kununua watu
Na kukinunua chama

Wameshagundua hawapati kitu
Nasikia pia kuna harambee zaid ya tano zinakuja
Lengo n hilo hilo

Watanzania wapumbavu ndio waliwao

Wananunua watu saana
 

Attachments

  • 1443857990458.jpg
    1443857990458.jpg
    13.8 KB · Views: 112
Uliza fedha za harambee ya M4C ziko wapi uone kama hujaitwa msaliti

Hahahah I agree, yaan ukawa bana ukijifanya ww mfutiliaji wa mambo ya ndani ya ukawa bac ww msaliti watakuzushia masoo mpak utaama chama mwenyew
 
Jamaa wanatudnganya hawa tunachanga kila cku hatuambiwi matumizi
 
Unataka kujua matumizi!
Mbona hukuchangia?
 
Wakati wanamuomba michango walidhani yeye ni nani?
"Matako kulia mbwata" ndo hii

Uwezekano wa mleta mada kuwa amechangia fedha kwenye harambee ya UKAWA ni sawasawa na ule wa Saddam Hussein kuwa rais wa Libya
 
mbowe shikamoo

tunajua umeshazipiga hizo
lakin tunaomba basi hata taarifa makamanda tujue tumechanga sh ngap na zinatumika vipi

maana makamanda wenzetu kama prof jay mikumi hana pesa kabisa za kampen

ukawa n majambaz
 
Hahahah I agree, yaan ukawa bana ukijifanya ww mfutiliaji wa mambo ya ndani ya ukawa bac ww msaliti watakuzushia masoo mpak utaama chama mwenyew

toka hata wewe kwenu lumumba fc nani anawauliza matumiz ya pesa zenu? Btw ulichangia sh ngap?
 
Back
Top Bottom