mafundisho
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 388
- 136
Hivi karibuni umoja wa UKAWA ulianzisha harambee ya wanachama wake kuchangia fedha umoja huo kwa ajil ya kampeni,fedha nyingi zilitolewa na wadau,cha ajabu hadi sasa hakuna ripoti yoyote ya fedha iliyotolewa na hata kuelezwa watu mambo yanaendaje,kujua utaratibu huo wa kuchangia bado unaendelea au vipi?Napata shaka isije kuwa watanzania wameliwa jamani??