Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Kama watendaji wa Same wameiba, wapelekwe mbele ya sheria na sio kukatwa 15% mishahara kama anavyoamuru Mrema.
Kulishtaki kwa wananchi baraza la mawaziri kwa kutofikia maamuzi kwa kuelekezwa na ushauri wa kamati yake ni kupoteza muda. Anataka baraza liketi na lijadili ajenda yake Zitto!
Mbio za sakafuni huishia ukingoni. Baada ya kuona hoja ya Tanesco haimwongezei umaarufu sasa amerudi Bumbuli kutafuta njia nyimngine ya kutoka nayo.
Anaongea kwa hadhari kubwa sana siku hizi. Hata kasi ya maneno yake imepungua si kama ya wakati ule akiwa PM. Malengo ya 2015 kazi kweli kweli.