Strong25
JF-Expert Member
- Dec 6, 2021
- 426
- 912
Kama kijana mpambanaji__
Bado najiuliza sana (vijana wenzangu hembu leo tugeane code) (siri) inakuaje kijana alisoma miaka mingi-anavyeti vyenye alama nzuri -hana pakushika -kuna wengine tunapambana miaka nenda rudi bado hatuoni hata dalili yakutoboa
__ila unakuta kujana mdogo (under 30) anamiliki vitu vya thamani (hapo hajasoma kuhusu familia yao ni duni tu) yeye ndo anahela
__tugeane mbinu (code)kama vijana tunafanikiwaje --najua humu kuna vijana wengi waliotoboa maisha wala sio kwa kusoma (wala si pesa zaurithi )
Bado najiuliza sana (vijana wenzangu hembu leo tugeane code) (siri) inakuaje kijana alisoma miaka mingi-anavyeti vyenye alama nzuri -hana pakushika -kuna wengine tunapambana miaka nenda rudi bado hatuoni hata dalili yakutoboa
__ila unakuta kujana mdogo (under 30) anamiliki vitu vya thamani (hapo hajasoma kuhusu familia yao ni duni tu) yeye ndo anahela
__tugeane mbinu (code)kama vijana tunafanikiwaje --najua humu kuna vijana wengi waliotoboa maisha wala sio kwa kusoma (wala si pesa zaurithi )